simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Msaada wanauchumi. Pamoja na rasilimali nyingi nchini, pato la wastani Rwanda ambayo ni landlocked na isiyokuwa na utajiri mkubwa wa madini linazidi pato la wastani la mtanzania kwa $200 kwa mwaka. Nini chanzo cha mafanikio ya kiuchumi ya Kigali?
Wao ni wachache vijisenti vya Bakharessa tu wote wanaonekana matajiri, ni ujumlisho wa mahesabu tu.
Ukiwa na mke na mtoto mmoja ukapokea mshahara laki 3, wastani wa pato kwa mtu ni 100k, ukiongeza watoto 2 kwa mshahara huo wastani unakua 60k.
Salaam.
Kama tatizo/suala ni idadi tu ya watu basi China na India zingekuwa maskini zaidi
Ukiwa na mke na mtoto mmoja ukapokea mshahara laki 3, wastani wa pato kwa mtu ni 100k, ukiongeza watoto 2 kwa mshahara huo wastani unakua 60k.
Salaam.
Wao ni wachache vijisenti vya Bakharessa tu wote wanaonekana matajiri, ni ujumlisho wa mahesabu tu.
Msaada wanauchumi. Pamoja na rasilimali nyingi nchini, pato la wastani Rwanda ambayo ni landlocked na isiyokuwa na utajiri mkubwa wa madini linazidi pato la wastani la mtanzania kwa $200 kwa mwaka. Nini chanzo cha mafanikio ya kiuchumi ya Kigali?
.
.
.
.
asante!
Kama tatizo/suala ni idadi tu ya watu basi China na India zingekuwa maskini zaidi
Kama tatizo/suala ni idadi tu ya watu basi China na India zingekuwa maskini zaidi
Ukiwa na mke na mtoto mmoja ukapokea mshahara laki 3, wastani wa pato kwa mtu ni 100k, ukiongeza watoto 2 kwa mshahara huo wastani unakua 60k.
Salaam.
hujaelewa thread.....nanukuu "Pamoja na rasilimali nyingi nchini, pato la wastani Rwanda ambayo ni landlocked na isiyokuwa na utajiri mkubwa wa madini"
argument yako inge-make sense kama Tz ingekuwa na geografia na raslimali sawa na Rwanda kama mtoa mada alivosema, unajua chochote kuhusu uchumi ?nisije nikawa napigia mbuzi guitar......katika uchumi wingi wa watu ni fursa kubwa kwa maendeleo ya uchumi....(kama hao watu wanazalisha) ila kwa mfano wako wa mke na watoto ambao hawazalishi upo sahihi lazima pato lishuke.....na pengine mfano wako unafit kwa tz
vipi kama tukikuongezea mshahara(rasilimali) then ukaongezewa na watoto(population)!