Halafu ujue D we ni twin wangu;usitumie makalio kufikiri..
Mimi sihitaji kuwa na mvuto,pochi yangu ikiwa Nene tu ni mvuto tosha wa kumfanya mwanamke yoyote avue mwenyewe bila hata kumwambia
Zipo mama njoo pm nikutumie hela ya wine
Aiseee nimekimbia chapchap IG kwenda kumtazama huyu mlimbwende hakika anavutia ni mzuri haswaa sio kama hawa vibungo wa huku jf kina Bushmamy kazi kujishingondoa tu wakat hawana lolote
Domo sio role model wangu...ni role model wa Manchester united ndio maana Leo kesho anataka avuliwe chup madale ili apewe child support Pamoja na rav 4 na laki 5 kila mwez
Njoo twin wallahi nakupa!
HahaaaahUshasahau kwamba na wewe unayegonga ipo siku utapata watoto wakike VYOMBO pia .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!
!
Aiseee. Weka Mbali Na Platnumz
NomaDaah ila mazee mbona watoto Wa maproducer ni visu hivyo???umewaona watoto Wa master J?
Mkuu mbona bongo wapo watam zaidi ya huyo..?Anakujaga bongo mbona Mara kwa Mara!! Subiri nipate namba yake...hii project nipo tayari kuhonga hata ist mamaeee[emoji57]
Mtoto mkalii huyu chalii yangu R
Hakuna
Pouwar Twin
Hebu watupie hapaDaah ila mazee mbona watoto Wa maproducer ni visu hivyo???umewaona watoto Wa master J?
mwenyewe nimeshangaa, binti sio mbaya lakini sio wa kusifiwa kiasi hiki, yupo average, hiyo nguo aliyovaa ndio immharibia akaonekana kama shanging flani na kuondoa mzukaSasa nyie mkienda kwa mchezaji Beach za kopakabana si mtablow....
Mbn wa kawaida sana huyo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bongo records bado ipoLeo Hii, Producer Mkongwe wa Bongoflava Pfunk Majani ametutambulisha mtoto wake wa Kwanza Aitwaye Patricia.. Binti huyu Ndio Dada yake Paula wa Kajala anasoma Chuo Cha sheria huko UK Uingereza..View attachment 1305505
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
Ipo mkuu