Patrick Ausems huyo Jangwani

Kumbe!! Sasa inakuwaje mnajiuliza halafu mnataka hao hao mapoyoyo ndo wawajibu?

Jiulizeni na kujijibu wenyewe basi Mtani.

Yaani mnataka tuwatafunie kila kitu!

Sisi tumewapa hints, mengine jihangaikieni.
 
Sasa Poyoyo atahangaikaje?

Uwezo huo hana. Malizeni nyie kila kitu.

Hapo ni sawa na tumekupa area of concentration, pitieni kwa umakini Mtani.

Tunawapenda hivyo hivyo pamoja na viburi vyenu, mmeshakuwa watani, hatuna jinsi ni kuishi na nyie hivi hivi.
 
kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda wa nchi zote za Afrika ya Mashariki, Kusini na Kati na nchi zote zinazo patikana katika upande wa kaskazini wa River Limpopo.
Na inayofungwa na wenzao.....
 
 
MNAVYOSIFIA WANAUME WENZENU KHA.KAMA WANAWASAIDIA MADADA ZENU HUKO..
 
MNAVYOSIFIA WANAUME WENZENU KHA.KAMA WANAWASAIDIA MADADA ZENU HUKO..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…