Tetesi: Patrick Aussems almaarufu Uchebe aonekana ofisi za GSM

Haijajulikana amefuata nini.

Ila watu wachawi sana,mmemsagia kunguni mwenzenu kuwa hafiki pasaka na hajafika kweli ilaCV yake imeboreahwa
Vipi kama kapata deal nono zaidi ya lile la Yanga? Mtasema amesagiwa kunguni?
 
Uchebe familia ya mnyama....
Kazi ipo walai...
 
Ramovic kapata deal Algeria mbona Yanga SC wapumbavu hawasemi
 
Kocha katoka Simba,Wachezaji wametoka Simba kivumbi leo
 
Mwigulu mbona tunajua n yanga amemtoa uchebe kijanja ili amalizane na jangwan kupoteza maboya uchebe akifichwa uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…