Nipo hapanalinywa. Nimechanganya iyombo, limao 2, tangawizi na mchaichai vyote nikaweka kwenye maji moto yanayochemka. Ndiyo chai. Hapo ninakunywa na Nimrcaf kukiimarisha kinga. Yaani hakika ni changamoto.Poleni wafiwa.
Tafuneni hiyo mi Madagascar kwetu linaitwa iyombo.
Apumzike kwa amaniPATRICK KISEMBO amefariki dunia Februari 8, 2021 katika Hospitali ya rufaa ya Kibaha.
Kisambo amefanya kazi na vyombo kadhaa ikiwemo, The Citizen, The guardian hadi kufikia kuwa Mhariri.
===
In loving memory of our beloved Comrade, Friend and Colleague Patrick Kisembo.
We Admins of this group, with heavy hearts and deep regrets, are saddened to announce Patrick Kisembo's passing on over the weekend.
His impromptu promotion to glory, occurred on Sunday 8th February, 2021, at Kibaha Referral Hospital.
The late Kisembo served in various media houses including The Guardian,The Citizen, Business Weekly and recently, a local magazine.
He held different positions, from a reporter all the way to becoming a gate keeper, popularly as editor.
His wife, engulfed with disbelief for the sadden parting with her loving husband, she says, Kisembo breathed his last Sunday night upon arrival at the referral hospital.
He was rushed at the facility from his Mbezi home in Dar, es Salaam, after experiencing difficulty in breathing. He complained of "fast diminishing air" in his respiratory system.
It was simply respiratorial.
Our colleague has, sadly, returned to to his maker, joining the ranks of his forefathers.
According to his family's Spokesperson, the deceased did not have any other pre existing medical conditions.
The Lord God gave, the Lord has taketh away. Many His name be glorified. Amen.
More updates to follow as regards funeral arrangements.
Mtu kushindwa kupumua Pneumonia kwani inajificha? Wewe unasaidiaje watanzania kuwa Korona Wave ya Pili "Variant " inaua kwa kasi? Upo kuwaona ndugu na marafiki na watanzania kuchukua tahadhari? Tusiendelee kuwadanganya Watanzania. Tuwe wakweli na kweli itatuweka huru sana.Waandishi wa habari kuanzia sasa epukeni kuandika au kutangaza ohhh sijui mtu kafa kwa tatizo la kupumua au Corona bila kuona death certifcate you need to be proffessional in your reporting fani yenu isidharaulike kuwa you cant quote anybody without concrtete verifiable legal evidence
mnaleta siasa katika mambo ya msingi,chadema na korona wapi na wapi au mpaka familia yako ifyekwe ndo utajua kwamba kuna korona??relax inakujaWatu walikua wanakufa toka zamani. Ila sasa hivi hata akifa mtu wa kawaida tu wanapost then wanaichomeka corona katikati.. hao ni chadema wanatafuta pa kutokea. Corona ipo lakini sio kiivyo kama chadema na wapuuzi wenzao wanavyoipa kik... nb. Rest in piece. Sis wote ni marehemu watarajiwa
Watu walikua wanakufa toka zamani. Ila sasa hivi hata akifa mtu wa kawaida tu wanapost then wanaichomeka corona katikati.. hao ni chadema wanatafuta pa kutokea. Corona ipo lakini sio kiivyo kama chadema na wapuuzi wenzao wanavyoipa kik... nb. Rest in piece. Sis wote ni marehemu watarajiwa
Message send and deliveryTumia akili kufikiri mkuu,,zamani hakukua na vifo vingi like now. May be haijampata mmoja wenu katika femili ,,, Mimi co chadema but ckubaliani na hoja yako.
Message send and deliverymnaleta siasa katika mambo ya msingi,chadema na korona wapi na wapi au mpaka familia yako ifyekwe ndo utajua kwamba kuna korona??relax inakuja
Kwani chanzo cha kifo ni nini , mbona mnatutajia dawa ?Poleni wafiwa.
Tafuneni hiyo mi Madagascar kwetu linaitwa iyombo.
Daktari ndio mwenye majibu kama ni tatizo la kupumua au lingine yaweza kuwa presha ya kupanda au kushuka au kakabwa na mfupa kooni akila samaki au nyama nk huwezi jitamkia tu ohh tatizo la kupumua umempima na vipimo vya kidaktari? ndio maana Daktari pekee ndie mwenye authority ya kutamka tatizo niniMtu kushindwa kupumua Pneumonia kwani inajificha? Wewe unasaidiaje watanzania kuwa Korona Wave ya Pili "Variant " inaua kwa kasi? Upo kuwaona ndugu na marafiki na watanzania kuchukua tahadhari? Tusiendelee kuwadanganya Watanzania. Tuwe wakweli na kweli itatuweka huru sana.
Moderators taarifa za kama mtu kafa kuanzia sasa ziambatane na death certificate ambayo itaonyesha cause of death as cerified by the doctor ili huu upuuzi wa kila mtu kuzusha marehemu kafa kwa Corona ufikie ukomo
Haya weka death certificate yake hapa piga picha weka
Daktari ndio mwenye majibu kama ni tatizo la kupumua au lingine yaweza kuwa presha ya kupanda au kushuka au kakabwa na mfupa kooni akila samaki au nyama nk huwezi jitamkia tu ohh tatizo la kupumua umempima na vipimo vya kidaktari? ndio maana Daktari pekee ndie mwenye authority ya kutamka tatizo nini
Madaktari hawa hawa mnaowatishia kuwateka ?Daktari ndio mwenye majibu kama ni tatizo la kupumua au lingine yaweza kuwa presha ya kupanda au kushuka au kakabwa na mfupa kooni akila samaki au nyama nk huwezi jitamkia tu ohh tatizo la kupumua umempima na vipimo vya kidaktari? ndio maana Daktari pekee ndie mwenye authority ya kutamka tatizo nini