TANZIA Patrick Kisembo afariki dunia

Waandishi wa habari kuanzia sasa epukeni kuandika au kutangaza ohhh sijui mtu kafa kwa tatizo la kupumua au Corona bila kuona death certifcate you need to be proffessional in your reporting fani yenu isidharaulike kuwa you cant quote anybody without concrtete verifiable legal evidence
 
Poleni wafiwa.

Tafuneni hiyo mi Madagascar kwetu linaitwa iyombo.
Nipo hapanalinywa. Nimechanganya iyombo, limao 2, tangawizi na mchaichai vyote nikaweka kwenye maji moto yanayochemka. Ndiyo chai. Hapo ninakunywa na Nimrcaf kukiimarisha kinga. Yaani hakika ni changamoto.
 
Apumzike kwa amani
 
Mtu kushindwa kupumua Pneumonia kwani inajificha? Wewe unasaidiaje watanzania kuwa Korona Wave ya Pili "Variant " inaua kwa kasi? Upo kuwaona ndugu na marafiki na watanzania kuchukua tahadhari? Tusiendelee kuwadanganya Watanzania. Tuwe wakweli na kweli itatuweka huru sana.
 
mnaleta siasa katika mambo ya msingi,chadema na korona wapi na wapi au mpaka familia yako ifyekwe ndo utajua kwamba kuna korona??relax inakuja
 
Kwamba katolewa Mbezi hadi Kibaha
 

Tumia akili kufikiri mkuu,,zamani hakukua na vifo vingi like now. May be haijampata mmoja wenu katika femili ,,, Mimi co chadema but ckubaliani na hoja yako.
 
Daktari ndio mwenye majibu kama ni tatizo la kupumua au lingine yaweza kuwa presha ya kupanda au kushuka au kakabwa na mfupa kooni akila samaki au nyama nk huwezi jitamkia tu ohh tatizo la kupumua umempima na vipimo vya kidaktari? ndio maana Daktari pekee ndie mwenye authority ya kutamka tatizo nini
 

Acha ujinga
 
Daktari anaiogopa serikali. Kama kuhamia private hospital ni msala itakuwa kutaja asichopenda mkuu?
 
Madaktari hawa hawa mnaowatishia kuwateka ?
 
Zamu kwa zamu! Kama upo hai anza kutoa usia mapema... Na anayepokea usia nae atoe usia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…