TANZIA Patrick Kisembo afariki dunia

Kwahiyo korona huko tz hakuna?
 
Kuna Mwanadamu ( Binadamu ) aliingia Mkataba na Mwenyezi Mungu kuwa ataishi Milele?

Tulimpenda sana ila Mwenyezi Mungu amempenda mno hivyo tuheshimu Kazi yake na Utaratibu wake akishirikiana na Israeli.
 
Tafadhali jiwe, Tanzania siyo makao makuu ya Mungu. Corona ipo na inaua vibaya. Serikali awamu hii imejidhihirisha kutokuwa na uwezo wa kupambana na majanga. Imebaki kuwa serikali ya kutafuta kiki za kipuuzi na mihemko ya kisiasa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…