It's not ur menu mkuu ukiona hivyo ujue haikuhusu hii thred.Mkuu uzi ungependeza zaidi ungewazungumzia kidogo maana siyo kila mtu anawafahamu ila uzi kila mtu yuko huru kusoma.
Hao ni nani na walijishughulisha na nini??
Ngowi kafungwa Nairobi kesi ya utapeliHawa watu watatu wamewahi kuni inspire sanaa kwenye mapambano ya kutafuta chapaa, recently sijawasikia kabisa
Wameenda wapi?
Acha ubaguzi wa kikaburu mzee.It's not ur menu mkuu ukiona hivyo ujue haikuhusu hii thred.
Hii I'd sijaiona muda mrefu .sawa mkuu wazingatie washirika wenzakeSir Jeff atakuja kuingiza watu chaka muda sio mrefu.. time will tell
The Young African Millionaire Lighting Up TanzaniaMkuu uzi ungependeza zaidi ungewazungumzia kidogo maana siyo kila mtu anawafahamu ila uzi kila mtu yuko huru kusoma.
Hao ni nani na walijishughulisha na nini??
Hata tigo pesa app haitaji internet kufanya kaziInafanya miamala kama hii ya mpesa , tigo pesa na malipo ya meninge tofauti ni kwamba haihitaji internet kufanya kazi
Kweli mkuu? ina maana ukizima data bado itafanya kazi? Unajua mfano mpesa na tigo pesa app zinafanya kazi hata usipokuwa na bundle ili mradi chip iliyomo ni ya mtandao husika. Maana yake si kwamba haitumii internet ila wameipa exceptional kama vile unavyotumia freebasics kuingia jf hata kama huna bundle. Ukitaka kujua kuwa inatumia internet switch off data uoneHata tigo pesa app haitaji internet kufanya kazi
Kweli mkuu? ina maana ukizima data bado itafanya kazi? Unajua mfano mpesa na tigo pesa app zinafanya kazi hata usipokuwa na bundle ili mradi chip iliyomo ni ya mtandao husika. Maana yake si kwamba haitumii internet ila wameipa exceptional kama vile unavyotumia freebasics kuingia jf hata kama huna bundle. Ukitaka kujua kuwa inatumia internet switch off data uone
Wewe unaongea kitu usichokijua, hapa hatuongelei ussd code hapa tunaongelea apps. Inaelekea umedandia treni kwa mbele. NALA ni app na hizo tigo na mpesa tulizokuwa tunaongelea ni apps. Hujui unachokiongea unadhani apps za voda na tigo pesa zinatumia USSD iliyojificha nyuma ya GUI?Mkuu wewe unauelewa mdogo na technology usipotoshe umma,kwani unapotuma pesa kawaida kupitia *150*00# unawasha data? Kinachofanyika ni kuvisha kitu kinaitwa graphic user interface yaan instead ya kutumia ussd wanatumia user graphics
Wewe unaongea kitu usichokijua, hapa hatuongelei ussd code hapa tunaongelea apps. Inaelekea umedandia treni kwa mbele. NALA ni app na hizo tigo na mpesa tulizokuwa tunaongelea ni apps. Hujui unachokiongea unadhani apps za voda na tigo pesa zinatumia USSD iliyojificha nyuma ya GUI?
Hebu weka app ya tigo pesa switch off data halafu ifungue ujaribu fanya muamala wowote uone kama itafanya kazi... Mbona simple tu.Mkuu acha ubishi mkuu, hakuna exceptional ya internet kwenye hizo mambo,i know what i am talking about
Hebu weka app ya tigo pesa switch off data halafu ifungue ujaribu fanya muamala wowote uone kama itafanya kazi... Mbona simple tu.
Na labda ngoja nikuongeze hili, ndiyo maana ukishaiunga haijalishi popote utakapokuwa duniani ili mradi uko connected na internet hata kamakwenye simu hamna chip imeiconnect na wifi utaweza access tigo pesa na kufanya miamala. Ndiyo maana ukishaiunga hata utoe chip ya tigo uweke chip nyingine as long as kuna internet utafanya miamala. Mimi mfano nina app ya tigo pesa kwenye sim lakini line ya tigo haiko kwenye simu na nimeipoteza since feb lakin bado nafanya miamala ya tigo pesa.Mkuu acha ubishi mkuu, hakuna exceptional ya internet kwenye hizo mambo,i know what i am talking about
Soma hayo maelezo kwenye tovuti ya tigo, wanakwambia unahitaji internet kuitumia sasa wewe ni nani ubishe?Labda kama kuna maboresho yamefanyika,lakini thats the concept
Na labda ngoja nikuongeze hili, ndiyo maana ukishaiunga haijalishi popote utakapokuwa duniani ili mradi uko connected na internet hata kamakwenye simu hamna chip imeiconnect na wifi utaweza access tigo pesa na kufanya miamala. Ndiyo maana ukishaiunga hata utoe chip ya tigo uweke chip nyingine as long as kuna internet utafanya miamala. Mimi mfano nina app ya tigo pesa kwenye sim lakini line ya tigo haiko kwenye simu na nimeipoteza since feb lakin bado nafanya miamala ya tigo pesa.
Ontario naona kwa sasa kapiga chini kilimo na ufugaji. Anakomaa na Forex tu.πPatrick Ngowi ndio kapotea kimoja.Alitapeli wazungu kwenye maboashara yake Mkuu .Sijui kapotelea wapi kwa sasa l.
Benja ni wakishua Home kwao wanakeshi Naona wazazi wake wana asili ya kihindi pia anaconnection hadi majuu huko
Kupotea kwenye gemu vigumu
Mcheki instargram
Isaya Yunge kapata support kubwa sana kutoka kwa wazungu (wajapani wachina (ngonzi nyeupe ) akapata chance ya kusoma na scholarship mpaka akaenda Majuu Ila kwa sasa hasomeki vizuri wala mishe anazofanya utaona mapicha mapicha mapicha tu Mkuu .Hata hizo App anafanya parternship na wazungu .na mambo mengine Mkuu
ONTARIO (sirjeff dennis )yeye ndio yupo kwenye gemu mpaka sasa ni hayo tu kwa kifupi
Hayo yote now kapiga chini. Anakomaa na Forex tu.πDah naona hao wote wamekwama na walichelewa, Kubwa kuliko wote kwangu ni Sir Jeff a. k. a ontario, Aisee yule mjaluo ni mjanja sana, nlisikia huko nyuma alipigia kitabu kenya, ndio kwanza ana miaka 25, kuna kongamano flani niliona alialikwa huko marekanj na akapewa tuzo ya ujasiriamali hapo alikuwa na miaka 21 tu, nakumbuka anavyohojiwa alilalamima sana miaka yake kuwa kikwazo kafika kupewa mkopo na benki enzi hizo
Mjini kuna mishe mishe nyingi sanahuyo somebody Ngowi mara ya mwisho alikamatwa na madini ya mabilioni huko Kenya
sijajua kama alisharejeshwa ama vipi...but madini yalirejeshwa na serikali ya Kenya kupitia waziri wao mmoja hivi
Sikweli, jamaa anaamini katika vyano vingi vya pesa kitambo alishwai sema kupata Mtaji endelevu tatizo Banks zinazingua yeye kama mjasiliamari akaona Forex njia sahihi ya kumpa Mtaji endelevu wa muendelezo Biashara zake.Ontario naona kwa sasa kapiga chini kilimo na ufugaji. Anakomaa na Forex tu.π