du walevi tu haoMungu ibariki Bavicha
Bora wamemlipa beberu haki yake alikuwa anatudhalilisha sana.Imeshaachiwa mkuu itapokelewa kwetu Mwanza karibu kwenye mapokezi mkuu.
Magufuli analaana wajinga sana nyinyi CCMVipi ulitudanganya kuwa kwenye sikukuu ya Uhuru Mwanza Chadema itafunika lakini badala yake tukaona hakuna kitu bali wakina Lema na genge lake wamekaa kama mazoba na walipoitwa kumsalimia ngosha Mh. Rais nikaona Lema na genge lake wanakimbilia kushika mkono wa mbarikiwa Mh. Rais. Unajisikiaje kila ukimwomba Mungu sala zako hajibiwi kabisa.
Duh lakini huyu jamaa hayo meno ya mbele wali yang'oa au alizaliwa hivyo?!