Patron is needed (2 Posts)

Patron is needed (2 Posts)

bottleneck

Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
43
Reaction score
13
Helasita Secondary School iliyopo wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam bado tunahitaji mlezi wa vijana wetu (Patron) hivyo bado nafasi ipo wazi tunaendelea kumtafuta mtu huyo.

Priority ni kwa aliye somea maswala ya Community Health, Nursing, Sociology ama course yoyote inayohusiana na jamii, uzoefu utazingatiwa, umri angalau above 30 yrs.

Kwa mawaliano tuma CV kwenye info@helasitasecondary.ac.tz Pia unaweza kunicheki PM kwa maelezo zaidi.
 
Helasita Secondary School iliyopo wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam bado tunahitaji mlezi wa vijana wetu (Patron) hivyo bado nafasi ipo wazi tunaendelea kumtafuta mtu huyo. Priority ni kwa aliye somea maswala ya Community Health, Nursing, Sociology ama course yoyote inayohusiana na jamii, uzoefu utazingatiwa, umri angalau above 30 yrs. Kwa mawaliano tuma CV kwenye info@helasitasecondary.ac.tz Pia unaweza kunicheki PM kwa maelezo zaidi.
Mshahara kiasi gani ndugu?
 
Helasita Secondary School iliyopo wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam bado tunahitaji mlezi wa vijana wetu (Patron) hivyo bado nafasi ipo wazi tunaendelea kumtafuta mtu huyo.

Priority ni kwa aliye somea maswala ya Community Health, Nursing, Sociology ama course yoyote inayohusiana na jamii, uzoefu utazingatiwa, umri angalau above 30 yrs.

Kwa mawaliano tuma CV kwenye info@helasitasecondary.ac.tz Pia unaweza kunicheki PM kwa maelezo zaidi.
Mkuu nimetuma CV yangu huko! Ingawa umri wangu ni pungufu kiasi but naamini haidhuru sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom