KWELI Paul Kagame alihudumu kwenye Jeshi la Uganda na kufikia cheo cha Mkuu wa Usalama wa Jeshi

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Kwenye vita ukiwa jasusi weye kazi yako ni kutafuta taarifa kupitia njia mbalimbali, mawasiliano ni mojawapo. Wawekwa sehemu yaitwa " listening post".

Pale "intelligence analyst" ndo hupata kila kitu na makamanda hupewa mkeka mzima.

Ila kiukweli, hili kundi la akina Rwigyema, Nyamwasa, Ssemwogerere na wengine walikuwa ni kundi "special".

Kuna ule msemo usemao mafahari wawili hawakai zizi moja.

Sasa kundi hili lilikuwa na mafahari zaidi ya 10, ni lazima aibuke fahari mmoja au wawili na ndicho kilotokea leo twafahamu ni mafahari gani tulo nao.
 
Wote washamwagwa hao,ndugu yao anakula keki ya taifa mdogo mdogo.
Nyamwasa yuko rest house kwasasa Belgium au Swissland.
Kuna Rose na wengine walikua front wameishia wapi?
Kuna mambo mengi ile nchi ni kuwaombea tu.
Ni kamkoa ketu.
 

Umenikumbusha mbali sana. Luteni General Imran Kombe! Kumbe PK alikuwa ni mmoja wa wanaomfanyia kazi? Naamini Tanzania ilimpika kama wengine wengi. Ila anachofanya sasa kitamrudi. Awe na maarifa
 
For decades, Kagame and Museveni fought side by side, toppling Ugandan dictator Milton Obote via military coup in 1986 and overthrowing Mobutu Seko in the Democratic Republic of Congo in 1997. Kagame, who trained in Tanzania as a spy, became Museveni’s head of military intelligence and close confidant. In return, Museveni aided Kagame’s rise to power, incubating Rwandan refugees that eventually formed the Rwanda Patriotic Front. With the backing of Museveni, Kagame invaded Rwanda, ending the 1994 genocide.

 
Dunia
 
Kwa taarifa hizi Tanzania hatukupaswa kuongozwa na mama kizimkazi. Tutafute rais maana tunazungukwa na majenerali hatari
 
Umri mkubwa /Longevity is the blessing from God/baraka toka kwa Mungu. It's written "I will fulfill the numbers of your days" Exodus 23:26
Nakubali Mzee wangu, aisee ukichngia kwenye mada zinazohusu michango ya urusi/Ukrein/Israel/Palestine, picha yangu ilikua inakuja kuwa wewe utakua nikijana tu wa malika yangu, Kwa namna ulivyo eleza hapo juu yaani umri wako ukiurudisha miaka 20 nyuma, bado unabaki kua kama kaka yangu. Ndio maana nasema Shikamoo mzee wangu.
 
Mwaka 1979 Kagame alikuwa na umri gani?
Mara baada ya vita ya Kagera kumalizika mwaka 1979 Uganda na Rais wake General Idd Amin Dada kutimuliwa na majeshi ya Tanzania uongozi wa nchi ulishikiliwa kwa na late Major General Msuya wakati huo akiwa na cheo cha Col.

Mwaka 1979 April Uganda ilianza kuongozwa na Bwana Yusuf Lule kuanzia April 1979 hadi June 1979.
Mwaka 1979 June hadi mwaka April 19780 Bwana Godfrey Binaisa aliongoza Uganda.
Mwaka 1980 Uongozi ulishikiliwa na Paul Muwanga
Mwaka 1980 hadi 1985 Milton Obote aliongoza Uganda kwa mara ya pili kwa kipindi cha miaka 5.
Kipindi cha miaka 5 ya uongozi wa Bwana Milton Obote ndipo kosa kubwa lilitokea wakati zilikuwepo juhudi za kuunganisha makundi mengi madogo madogo.

Kipindi hicho Bwana Kaguta Museveni alikuwa Waziri wa Ulinzi chini ya uongozi wa Obote.Tanzania ikatoa offer ya kuliunda jeshi la Uganda.Maafisa wa jeshi wakapata nafasi ya kujiunga na chuo cha kijeshi Monduli {Officer Cadet} kwakuwa Museveni alikuwa Waziri wa Ulinzi alitumia nafasi hiyo kuhakikisha watu wake wengi wanakwenda Monduli.

Mwaka 1985 Mkuu wa Jeshi General Tito Okello alimpindua Milton Obote na kuongoza Uganda hadi Mwaka 1986 alipopinduliwa na Kaguta Museveni ambaye tayari alikuwa na vijana wake wengi waliopata mafunzo ya kijeshi nchi Tanzania Monduli.
Ukitaka kujua ni muda gani Kagame alipata mafunzo Tanzania ni kati ya mwaka 1980 hadi mwaka 1985 kwasababu ndipo nafasi nyingi sana za mafunzo ya kijeshi zilitolewa.

Obote alizubaa sana alitakiwa kuhakikisha msaada ya mafunzo ya kijeshi unagusa makundi yote hasa makabila yote.General Tito Okello alijikuta akizidiwa ujanja na Museveni kwasababu maofisa vijana wenye mafunzo ya hali ya juu walikuwa watiifu kwa Museveni akiwemo Kagame na wenzake wengi waliokuwa na asili ya Rwanda.
 
Nkunda Mungu wa Mbinguni akutunze, akupe maono nauendelee kutupa siri kwaajili ya amani ya nchi yetu Tanzania.
 
Sio kweli ni uongooo kagame ajawai kuwa Mwanajeshi wa Uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…