Paul Labile Pogba ana miaka 23 tu na bei yake inaweza kununua Ferrari 450

Paul Labile Pogba ana miaka 23 tu na bei yake inaweza kununua Ferrari 450

Joined
Nov 19, 2013
Posts
96
Reaction score
47
Paul Labile Pogba ana miaka 23 tu na bei yake inaweza kununua Ferrari 450, Porsche 1213, Ndege 3 za Airbus, Bugatti 60. Bado unataka nimpeleke mwanangu shule na baadae aishie kwenye maandamano na migomo?! Nitakuwa mwehu! M na mke wangu tunaelekea kununua jersey, viatu, socks, pensi, na mipira. Atacheza mpira hata kma hajui
 
Kila laheri mkuu ilaa badaa ya miaka mitano utuletee marejesho..
 
Hivi kwenye hiyo pesa jamaa kapewa ngapi BTW kitu pekee nilichopenda kwa huyu jamaa ni kuwa black na kuvunja record ya ununuzi mengine na mwachia mourinho.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Best wishes na huyo mtoto wenu...
Ila mama yake anasemaje kuhusu hilo..!?
 
Haya ,ila omba sana unafikiria Nyoso anapenda kufanya anayoyafanya ??
Mkuu Ahsante. Namuongezea mf, mwambie aje hapa Manzese darajani kuna Mchezaji wa zamani wa timu 1 ya Kariakoo na Taifa Stars, anafanya ya aibu ukifananisha na jina lake!
 
Paul Labile Pogba ana miaka 23 tu na bei yake inaweza kununua Ferrari 450, Porsche 1213, Ndege 3 za Airbus, Bugatti 60. Bado unataka nimpeleke mwanangu shule na baadae aishie kwenye maandamano na migomo?! Nitakuwa mwehu! M na mke wangu tunaelekea kununua jersey, viatu, socks, pensi, na mipira. Atacheza mpira hata kma hajui
Kwanza kuhamishie nchi yenye kufata mpira sio haya majungu ya bongo
 
Atacheza timu gani maana Simba imeuzwa..Yanga imekodishwa dah
 
Back
Top Bottom