Pre GE2025 Paul Makonda ameagiza Waziri wa TAMISEMI kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Pangani Haraka Sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huu Ujinga wa kua Kiongozi alafu unasubiri Kiongozi fulan ndo afanye maamuzi, ndo umekua kikwazo kikubwa sana hapa Nchini.


Tena sio tu Makonda.... Inamaana hiyo halmashauri Haina Mwenyekiti? Mkuu wa Wilaya ? Mkuu wa mkoa??.


Ujinga mtupu
Nami ndiyo swali langu sababu pale kuna RC/RAS/DC/DAS hawa wote kazi yao nini?
 
Nami ndiyo swali langu sababu pale kuna RC/RAS/DC/DAS hawa wote kazi yao nini?
Ndio Sababu lazima tukubaliane kwamba, hii Nchii inahitaji watu aina ya Makonda.

Unajua tuna maviongozi meeéngi sana ambayo ni Mzigo, mavivu, yalopata Uongozi Kwa kubebwa .

Mimtu kama hii, inahitaji mtu Mmoja tu Kichaa wa kwenda nao hatua Kwa hatua .
 
Yeye mwenyewe ni mtu wa kupewa maigizo je ni nani alimtuma atoe maagizo kwa waziri? Yeye ni tarishi tu hana mamlaka ya kumuagiza/kumuamrisha kiongozi yeyote,aache kiherehere.
 
Kwa hiyo hao wengine waendelee kupokea mishahara mikubwa bila kazi?
 
Yeye mwenyewe ni mtu wa kupewa maigizo je ni nani alimtuma atoe maagizo kwa waziri? Yeye ni tarishi tu hana mamlaka ya kumuagiza/kumuamrisha kiongozi yeyote,aache kiherehere.
Chama ndicho kimetoa maagizo na Mheshimiwa Makonda ndiye msemaji wa chama cha Mapinduzi
 

Waziri wa TAMISEMI hajawahi kufika Halmashauri ya Pangani Tanga ateuliwe.​

Mkurugenzi anakakaa Pangani kama Papa.
 
Na tume inapewa maagizo na nani ndugu Luca🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…