Elections 2015 Paul Makonda unapata wapi ujasiri wa kukataza wananchi kusubiria matokeo ya kura?

Awa akina makonda na Jk watatuletea uvunjifu wa amani.
Sheria inatamka pasipo na kificho mita 200.
Iwe ni kulinda kura au kusubiri matokeo sheria inasema mita 200.
Kama walitaka kuzifuta hizi mita 200 basi wangepeleka mswada wa dharula kwenye bunge la makinda.
 

yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako
 
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako

Sawa nafahamu lakini anatakiwa kufuata sheria za nchi na kuheshimu muhimili wa mahakama, ila sijapendezwa na jinsi swali lako ulivyoliuliza maana lina dhihaka ya namna fulani
 
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako

Kila jambo lina mipaka yake. Hilo ni zaidi ya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Hilo linatolewa tamko kitaifa na sio na wilaya moja moja. Ni sawa na mkuu wa Wilaya ya Mbinga kutangaza vita na Malawi kwa vile wilaya yake iko mpakani.
Makonda anatakiwa asubiri kutekeleza maagizo yatakayo tolewa kitaifa kuhusu jambo hilo na sio yeye kusema hatakubali. Kwenye hili Wasimamizi wa uchaguzi, Polisi na waangalizi wa uchaguzi hawapokei maelekezo kutoka kwa ma DC bali tume ya uchaguzi Taifa hivyo hata yeye atulie tuu.
Huku ni kutojua mipaka ya kazi wanazopewa hawa Makada, yeye anasubiri jambo asemalo litangazwe sana Clouds FM akidhani ni sifa.
 


Huna hata haja ya kutafari kauli za kipuuzi ambazo hazijapimwa mkuu,hiv unadhani polisi au hasa ffu ni wengi kiasi gani kuweza kuthibiti asilimia kubwa ya wapiga kura walioamua kusubiri matokeo vituoni kwa siku moja au kwa wakati mmoja,okay fine hata wakiamua kutumia na wanajeshi bado hawataweza ni jambo linalotokea kwa wakati mmoja
 

Kauli yake inaweza kuvunja amani ikiachwa hivihivi bila kutolewa ufafanuzi.
 
kalapna nae atakuepo kasema atalinda kura through clouds360
 
Kwa akili yako fupi unadhani ccm itaiba kura za nani kama sio za UKAWA? Za TLP? au DOVUTWA? wakishaiba hizo zitafika ngapi kwa ujumla wake? hahaha
VIVA UKAWA!!!!
Wewe lofa tu! Unafikiri UKAWA mna wanachama zaidi ya milioni5? Wasio na vyama tuliojiandikisha tupo wengi zaidi ya milioni 10!
 
Wamewekeza kwenye ujinga wa watanzania walioutengeneza kwa kuwagawia elimu duni.
 
Me nijuavyo haka ni kapuuzi fulani tu,na iwe lowassa ama magufuli hawatakataka kabisa kuwa sehemu ya serikali,hana adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…