Elections 2015 Paul Makonda unapata wapi ujasiri wa kukataza wananchi kusubiria matokeo ya kura?

Dhana ya ulinzi shirikishi inatakiwa kutumika kwenye kura pia. Kama kuna nia njema kwanini wanakataza wananchi kushirikiana na vyombo vya dola katika kulinda kura zao?

Nakama wananchi hawaruhusuwi kukaa mita miambili hayo matokeo wanambandikia nanikwenye kituo cha kupigia kura:what:
 
Anayo mamlaka,hivi mtoa post unatambua mamlaka ya mkuu wa wilaya au unaota ndoto za mchana,yeye ni mwaki
ishi wa rais katika wilaya yake na ndio mtunza amani na vyombo vya ulinzi na usalama viko chini yake kwa mamlaka aliyopewa

Mamlaka yake yana mipaka, hapa anavunja sheria kwa kuingilia kazi za tume na Uhuru wa mahakama kuu. Asubiri kwanza maamuzi ya mahakama kuu.
 

Wee mtoa hoja, Topic ya habari yako "Paulo Makonda anapata wap......" uliianza vizuri, ila umekuja kuharibu kwenye maelezo, uliposema Mkuu wa wilaya!! huyu ni mkuu wa wilaya hipi? wakuu wa wilaya wana hekima sana siyo kama huyu dogo. huyu ni chizi fresh tu!!! anavaa suti lakini mentary ni CHIZI. Wewe makonda, kama kweli wewe ni kiongozi mzima, unayejua sheria, utaingiliaje suala ambalo liko mahakamani?

Ka-degree kamoja unakohowa kama msomi!! ungekuwa Dr? Ulivyo mpiga walioba ukaachwa, safari hii jidanganye kuuwa watu, uone na wewe kama utaishi!!! Makonda tumia hekima kama wakuu wa wilaya wengine siyo unakuwa mlopokaji. Ulimbukeni wa Madaraka!!! nilikuona Juzi "unatangaza kwamba kwenye wilaya yangu.......... nitawashughurikia" wewe unawilaya wewe?

ungekuwa critical thinker bora ungesema kwenye wilaya zetu zote dar, ili tukaona ni mahamuzi ya kikao cha wakuu wa wilaya!! sasa wewe unasema wilaya yako hili kikwete akuone wewe ni mchapa kazi hili upandishwe cheo? Uliza waliokutangulia wakufundishe uache uchizi fresh

Kiwango cha kutambua usomi wa mtu, siyo kuangalia GPA, bali ni uwezo wa kuchambua mambo na kutoa mahamuzi!!

Kwakuwa mtoa mada amesema kuwa ulikuwa kanisani, hivyo ngoja nikupe andiko likusaidie
Mithali 13:3 "Yeye alindaye kinywa chake, huilinda nafsi yake. Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu"
 
Our great democracies still tend to think that,a stupid man i more likely to be honest than a clever man
 
Our great democracies still tend to think that a stupid man is more likely to be honest than a clever man
 
Utakapovunjwa mguu mbowe hatokuwepo m 200

Umejuaje kama atavunjwa mguu??
Na ni nani atakayemvunja huo mguu??

Ninyi MBWA KOKO za kijani natamani sana siku nchi hii kiwake tuone kama hao polisiccm hawatawabaka wake, dada na mama zenu ndo mtashika adabu.

Jinga jinga kama makonda wanatukana na kupiga wazee wao ndo CCM iwaone wamepata sifa za kuwa wakuu wa wilaya hovyo kabisa. Laana ya wazee wa nchi hii inamwandama huyo makonda ndo maana sasa anajihisi anaweza akatoa amri yeyote tu nchi puuzi sana.

Kura in mali yetu, tutapiga na kuzilinda wenyewe wala hatumuhitaji Mbowe ili tulinde mali yetu wenyewe.
Kama umemind nenda kakiambie kimbwa chenzako ki makonda.
 
Our great democracies still tend to think that,a stupid man i more likely to be honest than a clever man

Huyu ana maanisha kuwa wananchi wote tumpe kura zetu Lowassa na ukawa, asante sana mkuu kwa kukubali mabadiliko pipooooooooooz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…