Paul McKenzie Mtuhumiwa wa mauaji ya SHAKAHOLA asema bora afe kuliko mateso ya jela

Paul McKenzie Mtuhumiwa wa mauaji ya SHAKAHOLA asema bora afe kuliko mateso ya jela

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Mchungaji McKenzie analalamikia kutopewa haki za kibinadamu akiwa jela.

Anadai amekuwa akinyimwa kutoka nje na kuota jua, analalamikia GIZA la humo ndani.

Amesahau waamini wenzake wako katika GIZA kubwa zaidi huko makaburini.

#Kataa Ujinga

#Kataa Upumbavu wa Baadhi Ya Wanadini na Waganga [emoji120]

#Kataa Ugaidi Wa Kisingizio Cha Dini ,Mila Ama Siasa [emoji120]

#Jitoe Utumwani Mwa Minyororo ya vichaa wa DINI

#YetzerHatov[emoji120]

Alasiri njema amin[emoji120]
 
Atulie tu awe mpole...hilo giza ni dogo mno kulinganisha na ukubwa wa giza alilowapa wafuasi wake.
Askari magereza mliopo hapo kenya ikiwezekana mwongezeeni na giza lingine..pumbafu kabisa huyo.
 
Mchungaji McKenzie analalamikia kutopewa haki za kibinadamu akiwa jela.

Anadai amekuwa akinyimwa kutoka nje na kuota jua, analalamikia GIZA la humo ndani.

Amesahau waamini wenzake wako katika GIZA kubwa zaidi huko makaburini.

#Kataa Ujinga

#Kataa Upumbavu wa Baadhi Ya Wanadini na Waganga [emoji120]

#Kataa Ugaidi Wa Kisingizio Cha Dini ,Mila Ama Siasa [emoji120]

#Jitoe Utumwani Mwa Minyororo ya vichaa wa DINI

#YetzerHatov[emoji120]

Alasiri njema amin[emoji120]
Hivi alipokuwa anawaambia watu wafunge hadi kufa ili waende mbinguni, naye si afunge tu afe ili aende mbinguni? au yeye ataki kwenda huko.
 
Mungu aliye mbinguni atamshughulikia kwa matendo yake
 
Mchungaji McKenzie analalamikia kutopewa haki za kibinadamu akiwa jela.

Anadai amekuwa akinyimwa kutoka nje na kuota jua, analalamikia GIZA la humo ndani.

Amesahau waamini wenzake wako katika GIZA kubwa zaidi huko makaburini.

#Kataa Ujinga

#Kataa Upumbavu wa Baadhi Ya Wanadini na Waganga [emoji120]

#Kataa Ugaidi Wa Kisingizio Cha Dini ,Mila Ama Siasa [emoji120]

#Jitoe Utumwani Mwa Minyororo ya vichaa wa DINI

#YetzerHatov[emoji120]

Alasiri njema amin[emoji120]

Wanamuonea tu, kwani aliwalazimisha wafunge. Si ni ujinga wao wa kutaka majibu ya njia ya mkato kwa maswali na masuala mazito ya maisha.
 
Back
Top Bottom