Hemedy Jr Junior JF-Expert Member Joined Feb 17, 2023 Posts 915 Reaction score 1,082 Feb 21, 2023 #1 Katika chapisho lake la hivi punde kwenye mtandao wa TikTok, Paula aliiga sauti ya mwanamke akiweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa. “Mwanaume akisema anataka kukuoa sasa hivi utamchukulia aje?” sauti ya mwanaume iliuliza kwenye video. Sauti ya mwanamke ilijibu kwamba mtu ambaye ana nia ya kumuoa sasa anataka tu kumharibia maisha yake. “Sitamchukulia vibaya, si namkatalia tu. Anayetaka kunioa, anataka kuniharibia maisha,” alisema. Ujumbe huo unakuja siku mbili baada ya Rayvanny kuchapisha picha ya Paula kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuweka emoj za upendo. Imeandaliwa na Kimodomsafi
Katika chapisho lake la hivi punde kwenye mtandao wa TikTok, Paula aliiga sauti ya mwanamke akiweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa. “Mwanaume akisema anataka kukuoa sasa hivi utamchukulia aje?” sauti ya mwanaume iliuliza kwenye video. Sauti ya mwanamke ilijibu kwamba mtu ambaye ana nia ya kumuoa sasa anataka tu kumharibia maisha yake. “Sitamchukulia vibaya, si namkatalia tu. Anayetaka kunioa, anataka kuniharibia maisha,” alisema. Ujumbe huo unakuja siku mbili baada ya Rayvanny kuchapisha picha ya Paula kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuweka emoj za upendo. Imeandaliwa na Kimodomsafi
K kikuna JF-Expert Member Joined May 26, 2015 Posts 2,573 Reaction score 2,807 Feb 21, 2023 #2 Kweli wanaume kwa sasa tuko wachache sana
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 25,258 Reaction score 48,589 Feb 21, 2023 #3 Ila punguza umbea
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 21, 2023 #4 Katoto kakikua kataacha
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,383 Reaction score 9,337 Feb 21, 2023 #5 Kamata sprite / Pepsi baridii shusha pumzii