Paula Masanja Afunguka "Anataka Kunioa Kuniharibia

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082

Katika chapisho lake la hivi punde kwenye mtandao wa TikTok, Paula aliiga sauti ya mwanamke akiweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa.


“Mwanaume akisema anataka kukuoa sasa hivi utamchukulia aje?” sauti ya mwanaume iliuliza kwenye video.


Sauti ya mwanamke ilijibu kwamba mtu ambaye ana nia ya kumuoa sasa anataka tu kumharibia maisha yake.


“Sitamchukulia vibaya, si namkatalia tu. Anayetaka kunioa, anataka kuniharibia maisha,” alisema.


Ujumbe huo unakuja siku mbili baada ya Rayvanny kuchapisha picha ya Paula kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuweka emoj za upendo.
Imeandaliwa na Kimodomsafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…