Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Nimependa alivyosema aisee
uyu dogo nae atasumbua sana,sio wakawaida
kabisa aiseeKabisaa mkuu. Dogo anajitambua.
hata shule mwenye uwezo mkubwa(genious) na uwezo wa kawaida wote wanasoma laikini yupo anayesoma masaa 4 mwingine saa 1 tu inatosha.Duniani hakuna kipaji bila mazoezi, ao wote wanafanya mazoezi.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ahsantehata shule mwenye uwezo mkubwa(genious) na uwezo wa kawaida wote wanasoma laikini yupo anayesoma masaa 4 mwingine saa 1 tu inatosha.