KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Mimi nimejaribu kusoma katiba ya JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kuanzia
SURA YA PILI
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA RAIS
Rais wa Jamhuri ya Muungano
33.-(1) Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Nakatika kipengele hiki cha sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano
Sheria ya 1984
Na.15 ib.9
Sikuona sehemu inayoeleza Rais hataruhusiwa kugombea tena bada kumaliza muda wake wa miaka 10 ya kuwa Rais. Mimi nataka nipeleke pingamizi mahakamani pawepo na uwezekano wa Marais wastaafu waweze kugombea kiti cha uras kwa mara nyingine endapo Rais ataona anuwezo kiafya kifikra kuweza kusimamia majukumu ya urais.
Tunaweza kufanya hivyo kama baadhi ya nchi zimekuwa zikifanya siyo lazima tukumbatie mifumo ya waingereza kwani kufanya hivyo tunabaki paler pale hata mahali Rais alikuwa ameishapafikisha unakuta anaondoka lakini kama angekuwa na uwezo wakugombea tena hii ingeleta ufanisi katika nchi yetu.
Pia unakuta Rais anajifunza kutokana na makosa aliyoyafanya hivyo anaona akipata tena anaweza kurekebisha mahali alipokosea!Sasa umefika wakati wakufanya hivyo na kama haimo kwenye katiba iwekwe kawasasa pia lazima tuwe na sheria ya kuwajibika kwa maana Rais aondolewe kinga akifanya makosa ashitakiwe bila kuangalia kosa kalifanya muda gani,endapo kosa limefanyika akiwa katika madaraka na nila kizembe awajibishwe na sheria au ajiudhuru.
Ni mawazo binafsi.
SURA YA PILI
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA RAIS
Rais wa Jamhuri ya Muungano
33.-(1) Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Nakatika kipengele hiki cha sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano
Sheria ya 1984
Na.15 ib.9
Sikuona sehemu inayoeleza Rais hataruhusiwa kugombea tena bada kumaliza muda wake wa miaka 10 ya kuwa Rais. Mimi nataka nipeleke pingamizi mahakamani pawepo na uwezekano wa Marais wastaafu waweze kugombea kiti cha uras kwa mara nyingine endapo Rais ataona anuwezo kiafya kifikra kuweza kusimamia majukumu ya urais.
Tunaweza kufanya hivyo kama baadhi ya nchi zimekuwa zikifanya siyo lazima tukumbatie mifumo ya waingereza kwani kufanya hivyo tunabaki paler pale hata mahali Rais alikuwa ameishapafikisha unakuta anaondoka lakini kama angekuwa na uwezo wakugombea tena hii ingeleta ufanisi katika nchi yetu.
Pia unakuta Rais anajifunza kutokana na makosa aliyoyafanya hivyo anaona akipata tena anaweza kurekebisha mahali alipokosea!Sasa umefika wakati wakufanya hivyo na kama haimo kwenye katiba iwekwe kawasasa pia lazima tuwe na sheria ya kuwajibika kwa maana Rais aondolewe kinga akifanya makosa ashitakiwe bila kuangalia kosa kalifanya muda gani,endapo kosa limefanyika akiwa katika madaraka na nila kizembe awajibishwe na sheria au ajiudhuru.
Ni mawazo binafsi.