Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua gross salary yako zidisha kwa 0.01. Kama mshahara wako ni 700,000 then zidisha kwa 0.01Mwenye uzoefu wa kukokotoa kodi (PAYE) kwa hiyo 1% iliyopunguzwa ni sawa na kiasi gani tutegemee Julai?
Au nipeni kikokotoo nifanye mwenyewe.
Ahsanteni
Chukua gross salary yako zidisha kwa 0.01. Kama mshahara wako ni 700,000 then zidisha kwa 0.01
NB: Nakushauri kama una watoto wakazanie wasome sayansi na hesabu dunia ya leo kama hujui sayansi na hesabu imekula kwako!!
Una kikokotoo hapo uniwekee?Ukute imepungua 13200!🤭
Umemwingiza chaka!Chukua gross salary yako zidisha kwa 0.01. Kama mshahara wako ni 700,000 then zidisha kwa 0.01
NB: Nakushauri kama una watoto wakazanie wasome sayansi na hesabu dunia ya leo kama hujui sayansi na hesabu imekula kwako!!
Jamaa anafikiri kila mtu kilaza hapa. Hiyo hesabu yake hata la tano anafanyaUmemwingiza chaka!
Rais kasema inawahusu wote hadi yeye mwenyeweKwani 1% inawagusa wenye mshahara wa laki 7. Mi navojua lile punguzo la kutoka 9% mpaka 8% ni wale wa mshahara usiozodi 520k
Sasa why specifically aliitaja 9 mpaka 8.Rais kasema inawahusu wote hadi yeye mwenyewe
Akipunguziwa mdogo na wewe mkubwa inashukaSasa why specifically aliitaja 9 mpaka 8.
Siasa hizoRais kasema inawahusu wote hadi yeye mwenyewe
Mkuu mie najua kuhesabu tu hela..mavikokotoo tumeyaacha chuo hukoUna kikokotoo hapo uniwekee?
8% inaanzia salary ya 270,000/= - 520,000/=Siasa hizo
Kumbe unajua afu unauliza nini ?? Acha ukuku wewe na unafiki ?? Umepewa jibu huliaminiHesabu za kodi PAYE haziko hivi mkuu.
Rais siyo mhasibu, ni mpaka aambiwe.Rais kasema inawahusu wote hadi yeye mwenyewe
Jibu lake sio sahihi sababuKumbe unajua afu unauliza nini ?? Acha ukuku wewe na unafiki ?? Umepewa jibu huliamini
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
950,000/100 × 1Mwenye uzoefu wa kukokotoa kodi (PAYE) kwa hiyo 1% iliyopunguzwa ni sawa na kiasi gani tutegemee Julai?
Au nipeni kikokotoo nifanye mwenyewe.
Ahsanteni
Mwaka jana Magufuli alipunguza 2% hivyo ni sawa na 19000.950,000/100 × 1
Ongezeko ni sh 9,500