Paypal account on hold

Paypal account on hold

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Ni nani aliwahi kufungua account ya paypal labda Kenya halafu hela ikaingia wakaihold? Na je alifanikiwa kuifungua au ndiyo alikubali pesa ipokee kwakushindwa verify identity na documentations hakuwa nazo?
 
Mkuu Nina account wame ihold nahitaji msaada jinsi ya kuverify
 
Mkuu Nina account wame ihold nahitaji msaada jinsi ya kuverify
Ulipoifunua ulijaza uko wapi? Je waliifunga baada ya muda gani na je kuna ela ulipokea ndipo wakaihold na ni muda gani tangu wameihold
 
Ni nani aliwahi kufungua account ya paypal labda Kenya halafu hela ikaingia wakaihold? Na je alifanikiwa kuifungua au ndiyo alikubali pesa ipokee kwakushindwa verify identity na documentations hakuwa nazo?
Paypal /safaricom verify identity na kitambulisho/passport uliotumia ku register na safaricom (upload to paypal). Account itafunguliwa muda usiozidi masaa mawali.
 
Paypal /safaricom verify identity na kitambulisho/passport uliotumia ku register na safaricom (upload to paypal). Account itafunguliwa muda usiozidi masaa mawali.
Line za safaricom za watu wengi tunazinunua kwa watu ambao wanazisajili na kutuletea hapa hapa tu unapewa jina la usajili mwaka wa kuzaliwa na namba ya kitambulisho bila copy ya kitambulisho.
So wakihold shida inakuwa ni kupata hiyo copy ya kitambulisho
 
Line za safaricom za watu wengi tunazinunua kwa watu ambao wanazisajili na kutuletea hapa hapa tu unapewa jina la usajili mwaka wa kuzaliwa na namba ya kitambulisho bila copy ya kitambulisho.
So wakihold shida inakuwa ni kupata hiyo copy ya kitambulisho
Mkuu inaelekea una trade forex, kama ndivyo tumia bitcoin ni njia rahisi kuliko hii mizunguko
 
Line za safaricom za watu wengi tunazinunua kwa watu ambao wanazisajili na kutuletea hapa hapa tu unapewa jina la usajili mwaka wa kuzaliwa na namba ya kitambulisho bila copy ya kitambulisho.
So wakihold shida inakuwa ni kupata hiyo copy ya kitambulisho
Kama unayo passport fika hapo Nairobi au mombasa kasajili line ya safaricom kwa jina lako urahishishe maisha

Kama uko serious kweli na biashara zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inaelekea una trade forex, kama ndivyo tumia bitcoin ni njia rahisi kuliko hii mizunguko
No mkuu si trade forex nafanya freelancing, sema nilijaribu mara moja tumia bitcoin kupitia kununua na kuuza kwenye localcoin yani kwenye laki nane nilipoteza kama 70000 na nilitumia skrill siyo paypal so nilitaka ela ije mpesa
 
Kama unayo passport fika hapo Nairobi au mombasa kasajili line ya safaricom kwa jina lako urahishishe maisha

Kama uko serious kweli na biashara zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ili nimeliovercome, nimeanzisa hhii tread ili watu wacanie na wengine wapate njia maana ni tatizo la wengi. Mimi ilifungwa Jumatano last week, ijumaa nikafanya mchakato wakuifungua leo wakaifungua lakini njia niliyotumia ni haramu
 
No mkuu si trade forex nafanya freelancing, sema nilijaribu mara moja tumia bitcoin kupitia kununua na kuuza kwenye localcoin yani kwenye laki nane nilipoteza kama 70000 na nilitumia skrill siyo paypal so nilitaka ela ije mpesa
Yes localbitcoin unapobadili unapewa bei ndogo.
Lakini njia salama na rahisi zaidi.
Skrill tatizo namna ya kutoa skrill kuja kwako bank hazikubali na ukipitia safaricom bado makato ni makubwa mno
 
Yes localbitcoin unapobadili unapewa bei ndogo.
Lakini njia salama na rahisi zaidi.
Skrill tatizo namna ya kutoa skrill kuja kwako bank hazikubali na ukipitia safaricom bado makato ni makubwa mno
Skril ina majanga mengi hadi mastercard sometimes zinazingua
 
Back
Top Bottom