PayPal to M-Pesa project - Lets discuss

PayPal to M-Pesa project - Lets discuss

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
556
Reaction score
736
Najaribu kustructure project ya kuwezesha kutoa pesa za PayPal hapa TZ, kwa kuwa kwa sasa haiwezekani ila tunaweza take advantage ya kutumia product hizi 3 kufanikisha
1. M-Pesa open API
2. DirectPay API
3. PayPal API

ambapo itakuwa hivi

1. kwa kuwa M-Pesa API inaruhusu huduma C2B, B2B, B2C nk, itawezesha mteja kupokea malipo yake moja kwa moja
2. Kwa kuwa Direct Pay API inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza track all transaction via API, hii itawezesha automatic confirmation ya mteja aliye withdraw pesa zake kwenye PayPal kwa kulipa kwenye Direct Pay account ambayo inatumika kufanya collection ya PayPal money. Pia, via listener URL utaweza kujua kama payment zimefanyika then API ita_fire M-Pesa API na ita call B2C API ambayo ita release pesa kwa account ya M-Pesa ya mteja.

the following is just a simple structure ya itavyokuwa kama una idea ya kuchangia ili tufanye kitu iweke hapa
NB: nimeshafanya integration kadhaa za Paypal, Direct Pay, lakini pia nimeplay na M-Pesa API sandbox so nina 70% za uhakika kuwa it is possible.

1605255513094.png
 
Mkuu ukifanikisha utatisha sna Ila sina idea yeyote juu ya ilo

Sisi end user tu
 
Mi nasubiri kutumia hiyo huduma tu wataalum shughulikieni.. imekuwa tabu sana linapokuja hilo swala la online money haswa kupokea. Kwa wengine hili hawalijui lkn ahsante kwa Vodacom kwa kuliona hili hakika sitawatupa!

Wengine twasubiri tu hapa nafurahia tu...😊
 
Najaribu kustructure project ya kuwezesha kutoa pesa za PayPal hapa TZ, kwa kuwa kwa sasa haiwezekani ila tunaweza take advantage ya kutumia product hizi 3 kufanikisha
1. M-Pesa open API
2. DirectPay API
3. PayPal API

ambapo itakuwa hivi

1. kwa kuwa M-Pesa API inaruhusu huduma C2B, B2B, B2C nk, itawezesha mteja kupokea malipo yake moja kwa moja
2. Kwa kuwa Direct Pay API inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza track all transaction via API, hii itawezesha automatic confirmation ya mteja aliye withdraw pesa zake kwenye PayPal kwa kulipa kwenye Direct Pay account ambayo inatumika kufanya collection ya PayPal money. Pia, via listener URL utaweza kujua kama payment zimefanyika then API ita_fire M-Pesa API na ita call B2C API ambayo ita release pesa kwa account ya M-Pesa ya mteja.

the following is just a simple structure ya itavyokuwa kama una idea ya kuchangia ili tufanye kitu iweke hapa
NB: nimeshafanya integration kadhaa za Paypal, Direct Pay, lakini pia nimeplay na M-Pesa API sandbox so nina 70% za uhakika kuwa it is possible.

View attachment 1625450
One major problem is that, you can neither receive nor withdraw money from a PayPal account created in Tanzania
 
Flash(SanDisk) yangu imeingia maji nifanye nini iweze kufanya kazi tena maana haisomi kwny device yangu.
Mimi nikiingiwa na maji sikioni huwa naongezamo mengine ili yaweze kutoka. Nimekuwa nikifanya hivyo mara nyingi.


Sent from my cupboard using mug
 
Iyo yote ni useless kama BoT wamegoma kuwezesha kitufe cha 'Receive' kwenye PayPal dashboard
 
Ngoja tuendelee kukomaa na btc tu na safaricom..
Bongo ushamba bado mwingi sana.

Juzi nilikuwa naangalia webmoney, ina option ya kupeleka pesa safaricom, sisi bado tumekalia ujima na kuzimiana internet
 
Ngoja tuendelee kukomaa na btc tu na safaricom..
Bongo ushamba bado mwingi sana.

Juzi nilikuwa naangalia webmoney, ina option ya kupeleka pesa safaricom, sisi bado tumekalia ujima na kuzimiana internet
Hadi Upwork ina option ya freelancer kupokea pesa kwa safaricom Mpesa. Yani nchi hii ni basi tu.
 
Iyo yote ni useless kama BoT wamegoma kuwezesha kitufe cha 'Receive' kwenye PayPal dashboard
ndio maana nime weka pia API ya Direct Pay, ambayo inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza withdraw kwa ATM, for the purpose ya ku_bypass hao BoT, so kwa kupitia API za Direct Pay ndio nitapata access ya kutuma pesa direct to M-Pesa number kwa kila transaction badala ya kutoa kwenye ATM
 
ndio maana nime weka pia API ya Direct Pay, ambayo inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza withdraw kwa ATM, for the purpose ya ku_bypass hao BoT, so kwa kupitia API za Direct Pay ndio nitapata access ya kutuma pesa direct to M-Pesa number kwa kila transaction badala ya kutoa kwenye ATM
Mkuu hiyo pesa unayotuma from payapal to mpesa via direct pay inatoka wapi wakati technically kitendo cha kuwa na paypal account ya tanzania basi haipokei pesa. Unless kama unasema tuendelee kucheat kwa kudanganya tuko nchi nyingine ila sasa wewe ndo ututengenezee system ya kuitoa kwa mpesa tanzania.
 
ndio maana nime weka pia API ya Direct Pay, ambayo inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza withdraw kwa ATM, for the purpose ya ku_bypass hao BoT, so kwa kupitia API za Direct Pay ndio nitapata access ya kutuma pesa direct to M-Pesa number kwa kila transaction badala ya kutoa kwenye ATM
mkuu, unaishi Marekani nini, hujui kwamba PayPal huwezi 'pokea' by default ukiwa Tz ?
 
Najaribu kustructure project ya kuwezesha kutoa pesa za PayPal hapa TZ, kwa kuwa kwa sasa haiwezekani ila tunaweza take advantage ya kutumia product hizi 3 kufanikisha
1. M-Pesa open API
2. DirectPay API
3. PayPal API

ambapo itakuwa hivi

1. kwa kuwa M-Pesa API inaruhusu huduma C2B, B2B, B2C nk, itawezesha mteja kupokea malipo yake moja kwa moja
2. Kwa kuwa Direct Pay API inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza track all transaction via API, hii itawezesha automatic confirmation ya mteja aliye withdraw pesa zake kwenye PayPal kwa kulipa kwenye Direct Pay account ambayo inatumika kufanya collection ya PayPal money. Pia, via listener URL utaweza kujua kama payment zimefanyika then API ita_fire M-Pesa API na ita call B2C API ambayo ita release pesa kwa account ya M-Pesa ya mteja.

the following is just a simple structure ya itavyokuwa kama una idea ya kuchangia ili tufanye kitu iweke hapa
NB: nimeshafanya integration kadhaa za Paypal, Direct Pay, lakini pia nimeplay na M-Pesa API sandbox so nina 70% za uhakika kuwa it is possible.

View attachment 1625450
Ni wazo zuri lakini sidhani kama ni rahisi hivyo hadi BOT warekebishe sheria zao za kupokea pesa kutoka nje.

Afu kwenye illustration yako tayari inaonesha haujafatilia mfumo mzima unaotaka kudeal nao, nasema hivyo kwa sababu hizi
1)Umeonesha kwamba mtu anawithdraw money kutoka paypal kwenda direct pay lkn hauwezi kuwithdraw ambacho haujapokea. Sasa utapokeaje pesa kwa paypal ukiwa bongo. Nadhan tatus kwanza tatizo la kuweza kupokea pesa ukiwa bongo kupitia paypal ndipo flow yako iendelee

2)Hio route yote hapo kuna makato, bado hio service itahitaji pia faida kdg ili ikidhi gharama za uendeshaji. Je umejipangaje khs hilo? Wateja watakubali kutumia bila kuzingatia hayo makato.

3)Pia nimecheza na PayPal muda mrefu lkn sijawahi kusikia kama paypal wametoa publicly API zao za kufanya withdraw, najua zipo za kulipia tu, labda uwe na account moja ambapo mtu akilipa hela inaingia kwenye hio acc then wewe unamtumia equivalent yake kwa mpesa(ofcoz you will be sued for money laundering later), ila kusema kuna direct withdraw API ambayo iko public hio sio kweli. Labda tu wale THUNES walio-link paypal na safaricom walipewa lkn nayo sio public kwamba kila developer anaweza kuitumia ndio maana hata mitandao mengine ya nje ya Tz bado haijafanikiwa kulink na paypal kama ilivyo safaricom.
 
Mkuu hiyo pesa unayotuma from payapal to mpesa via direct pay inatoka wapi wakati technically kitendo cha kuwa na paypal account ya tanzania basi haipokei pesa. Unless kama unasema tuendelee kucheat kwa kudanganya tuko nchi nyingine ila sasa wewe ndo ututengenezee system ya kuitoa kwa mpesa tanzania.
ndio maana nime weka pia API ya Direct Pay, ambayo inapokea malipo kutoka PayPal na unaweza withdraw kwa ATM, for the purpose ya ku_bypass hao BoT, so kwa kupitia API za Direct Pay ndio nitapata access ya kutuma pesa direct to M-Pesa number kwa kila transaction badala ya kutoa kwenye ATM

Daaaah, naona hapa mnaongea kitu ambacho hakiwezekani.
Jaribu kucreate account ya paypal ukidanganya kuwa uko nje ya bongo kwa kutumia VPN au TOR then utaona watakapo kukamatia. Paypal wanauliza nationality yako na lazima utume nyaraka zote, usipofanya hivyo baada tu ya kutengeneza account yako kwa kucheat nchi acc yako inakua blocked. Nimejaribu saaaaaaaaana hizi zote mnazosema hapa.


Lastly, herman3 rudi tena ufuatilie kiundani system unayotaka kudeal nayo, na sahau kuhusu kubypass BOT unless umejandaa kukabiliana na kesi ya Money Laundering.
 
Back
Top Bottom