Payslip yangu inasoma zero, narudi Kijijini

Payslip yangu inasoma zero, narudi Kijijini

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
996
Reaction score
745
mwisho wa mwezi ukifika payslip inoposoma karibu na zero! najiluza maswali mengi sana. Aibu inaniingia mwanaume wa nguvu ivi watu wakijua payslip inasoma karibu na zero itakuwaje. watoto wangu wakijua itakuwaje. ivi tutafika kweli???
ukizingatia mwisho wa mwezi unaangukia weekend da,
michango ya harusi kadi kibao mezani,
wadogo wawili wanataka ada za shule,
wanangu nguo za kuvaa zimechanika mogotini, lakini uyu mvulana hamna noma. atavumilia tu!
waifu hajaenda saloon tangu mwisho wa april,

wadau hii imekaa vibaya. NARUDI KIJIJINI. kwa mara ya Pili,
 
Mkuu unatoka kijiji gani ili ukienda nikupigie simu unijulishe nini kinaendelea huko? Pili unaweza ku-win kirahisi, ukifika anza taratibu mpaka wakuu wa kijiji wakuelewe. Ukienda mbio watakuwekea biti.

Hata hivyo safari njema.
 
ukipata nauli usirudi mjini, anzisha kamradi walau ka kurepea baiskeli. inasikitisha sana aisee
 
oldonyosambu, haki naenda kulima karoti
 
oldonyosambu, haki naenda kulima karoti
 
Back
Top Bottom