Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mkuu una tatzo la afya ya akili kwa huu mwandiko.
Huyu hawezi fukuzwa. Ni mwarabu mwenzetu. Huu ndiyo ukweli ila subiri povu toka kwa utopolo.Wadau hamjamboni nyote?
Lazima tuseme ukweli bila kuona haya wala kuwa na hofu
Profesa Nabi hatufai tena kutuongoza
Yafaa atumbuliwe mapema kadri iwezekanavyoView attachment 2389794
kwahy la masanja alijaisha vzr mumeamina kwa nabi jaman dunia hiiWadau hamjamboni nyote?
Lazima tuseme ukweli bila kuona haya wala kuwa na hofu
Profesa Nabi hatufai tena kutuongoza
Yafaa atumbuliwe mapema kadri iwezekanavyoView attachment 2389794
Akikuachiaa utaweza kulipa gaharama za kuendesha timu au unasema tuu kushinda na kushindwa yote matokeo ila kama upo fresh fadhili timu laa sivyo acha povugsm atuachie timu yetu katudanganya kasajili mchezaji kutoka ligi ya uingereza kwa gharama kubwa alafu tumeshindwa kupita Champions wakati na sisi ni Champion wa hii nchi.
gsm out.