Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Chama kimeshatekwa na wahuni hakuna atakae kikomboa tena kwa sasa kwani wale wazee waliokuwa na nguvu hizo wamejichokea kwa sasa na wengine tayari wameenda zao.
Wahuni wakiongozwa na boys 2 men ni very organized walijua kuwa wanaowabana ni wazee ila watakuja kuphase out tu siku moja; wao wakawekeza kwenye vijana, kuwarubuni na kuwafundisha na kuwapandikizisha mbegu za ufisadi vijana UVCCM ambao ni watoto tu wala hawana uchungu na mizizi ya chama na taifa, hawakuwepo enzi hizo. Vijana wanachoona na kujua na kuambiws ni maisha ni magumu chukua chako mapema.
CCM kupona mikononi mwa kizazi hicho tena under boys 2 men ni ndoto za alinacha, tusubiri muda utaongea wenyewe.
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Wahuni wakiongozwa na boys 2 men ni very organized walijua kuwa wanaowabana ni wazee ila watakuja kuphase out tu siku moja; wao wakawekeza kwenye vijana, kuwarubuni na kuwafundisha na kuwapandikizisha mbegu za ufisadi vijana UVCCM ambao ni watoto tu wala hawana uchungu na mizizi ya chama na taifa, hawakuwepo enzi hizo. Vijana wanachoona na kujua na kuambiws ni maisha ni magumu chukua chako mapema.
CCM kupona mikononi mwa kizazi hicho tena under boys 2 men ni ndoto za alinacha, tusubiri muda utaongea wenyewe.
Polepole, Mangula na wengine; wakati ndio huu
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili; ninaomba tushirikiane kwa pamoja kuangalia jambo hili kutoka pande mbalimbali na kuona kama linaweza kuwa ni uamuzi sahihi kwa majira haya ambayo taifa letu limefikia sasa. Wote tunakubaliana kuwa kila jambo huwa na mwisho wake na historia inajengwa na...
Serikali na mwarobaini wa matatizo yetu
Asalaam. Alekyum, BWANA. YESU KRISTO ATUKUZWE ! Nawasalimu wote na nnawatakia mapumziko mema ya mwisho wa wiki. MADA HII ITAONEKANA KAMA YA KIIMANI ZAIDI, LAKINI HEBU VUTA SUBIRA UISOME KWANZA Leo naomba niwaletee tafakuri hii ndefu sana na inayohitaji utulivu wa fikra. Na kwa wale ambao...