anoldmedia
Member
- Aug 14, 2024
- 18
- 27
Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC premier league kuanza kutimua Vumbi hii leo Agosti 16 2024 ambapo mchezo wa kwanza kwa msimu wa 2024/25 unapigwa leo kati Ya Pamba Jiji Fc 🆚️ Tanzania Prisons
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa taarifa kamili Boss... Mechi itakua saangapi? Wapi ?Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC premier league kuanza kutimua Vumbi hii leo Agosti 16 2024 ambapo mchezo wa kwanza kwa msimu wa 2024/25 unapigwa leo kati Ya Pamba Jiji Fc [emoji739]️ Tanzania Prisons
Wafuatiliaji tushaelewa kuwa chimbo litakuwa ni MwanzaToa taarifa kamili Boss... Mechi itakua saangapi? Wapi ?
Hapo umejidanganya. Pamba FC leo itashinda dhidi ya Prisons vizuri kabisa. Pamba inaenda kuanza ligi vyema leo hii.Pamba watakufa nyingi ,Nenda maafande tuwafundishe kucheza hawa watoto
Nitarudi hapa kukukumbusha nilichosema ,hapo saa kumi na mbiliHapo umejidanganya. Pamba FC leo itashinda dhidi ya Prisons vizuri kabisa. Pamba inaenda kuanza ligi vyema leo hii.
Sawa Kiongozi.Nitarudi hapa kukukumbusha nilichosema ,hapo saa kumi na mbili
Wee Mkenya kaa kwa kutulia pira afande lazima lishinde leoHapo umejidanganya. Pamba FC leo itashinda dhidi ya Prisons vizuri kabisa. Pamba inaenda kuanza ligi vyema leo hii.
Tatizo mnakariri maisha. Pamba wanajua wanapaswa kutumia vyema home ground (CCM Kirumba) maana kushinda huko kwingine ni changamoto haswaaa.They've that in thing in mind.Wee Mkenya kaa kwa kutulia pira afande lazima lishinde leo
Pamba wana kikosi kipya chote na wapinzani wao wamefanya maboresho, upya wa Pamba ndio ndio mwanzo wa kupigwa leoTatizo mnakariri maisha. Pamba wanajua wanapaswa kutumia vyema home ground (CCM Kirumba) maana kushinda huko kwingine ni changamoto haswaaa.They've that in thing in mind.
Kwani Prisons hawakufungwa msimu uliopita na timu za NBCL?