PC gani bora ninunue kwa ajili ya masuala ya Coding

PC gani bora ninunue kwa ajili ya masuala ya Coding

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Habari kama kichwa kinavyojieleza ni PC gani nzuri kwa ajili ya mambo ya software development (coding) ambayo itakuwa chap plus inaweza kuinstall windows 11 bila kuedit file zake yaan full supported.

Ahsante.
 
Unacheki hii mashine chini?
IMG_20220413_124310_519.jpg

Hii ni bongeee moja la mashine. Achana na takataka zingine. Nenda Kariakoo lipia 2,800,000/= beba ondoka nayo.

Ukifika nyumban, install VS code, Netbeans, Pycharm na Sublime.

Kisha anza kuchapa code.

IMG_20220413_124455_293.jpg

Brand: HP 15 DA0019
Processor: Core i7 10th Gen.
Clock Speed: 4.6 GHz
RAM: 32 GB
Storage: 1 TB (250 SSD, 750 HDD)
Screen size: 15"
Graphics: NVIDIA GEFORCE 4 GB

Mama Debora
Mwanamke pekee nayecheza na software development hapa JF.
 
Wanaume bana..
eti mume wangu jana kanitoa out dinner baada ya kunikuta niko frustrated na ku-debug errors kwenye prototype ya system nayoitengeneza.
IMG_20211127_225219_88.jpg

Tumerudi home, yeye kafikia kulala mie nikafikia kwenye computer... Pambana sana na errors mpaka nikafanikiwa kuziondoa.


*Coding life is very fun!
 
Unacheki hii mashine chini?
View attachment 2186005
Hii ni bongeee moja la mashine. Achana na takataka zingine. Nenda Kariakoo lipia 2,800,000/= beba ondoka nayo.

Ukifika nyumban, install VS code, Netbeans, Pycharm na Sublime.

Kisha anza kuchapa code.

View attachment 2185995
Brand: HP 15 DA0019
Processor: Core i7 10th Gen.
Clock Speed: 4.6 GHz
RAM: 32 GB
Storage: 1 TB (250 SSD, 750 HDD)
Screen size: 15"
Graphics: NVIDIA GEFORCE 4 GB

Mama Debora
Mwanamke pekee nayecheza na software development hapa JF.
Ñipo na core i7 8th generation .
Sublime
Vs code imo ndani .. ila sasa hivi inanisumbua baada ya kupeleka KWA fundi, mara uwake mara iamue kuzimana kuwaka ikitaka ,sauti hakuna . Ila ni pc nzuri KWA masala ya software engineering au kama wanavyopenda wenyewe kuita coding
 
Habari kama kichwa kinavyojieleza ni PC gani nzuri kwa ajili ya mambo ya software development (coding) ambayo itakuwa chap plus inaweza kuinstall windows 11 bila kuedit file zake yaan full supported.

Ahsante.
Minimum win 11 ni 8th gen, hivyo cheap machine ni i3 8th gen. Budget kiasi gani?
 
Habari kama kichwa kinavyojieleza ni PC gani nzuri kwa ajili ya mambo ya software development (coding) ambayo itakuwa chap plus inaweza kuinstall windows 11 bila kuedit file zake yaan full supported.

Ahsante.
angalia hii pia:

HP Envy m7
brand new in a box
1TB
i7 core, 2.5GHZ Processor
16GB RAM
Nvidia GeForce Graphics
17" Display, Touchscreen
Backlit keyboard
DVD +/-RW Optical drive
D'Salaam
Price 1.8M /=
 
Unacheki hii mashine chini?
View attachment 2186005
Hii ni bongeee moja la mashine. Achana na takataka zingine. Nenda Kariakoo lipia 2,800,000/= beba ondoka nayo.

Ukifika nyumban, install VS code, Netbeans, Pycharm na Sublime.

Kisha anza kuchapa code.

View attachment 2185995
Brand: HP 15 DA0019
Processor: Core i7 10th Gen.
Clock Speed: 4.6 GHz
RAM: 32 GB
Storage: 1 TB (250 SSD, 750 HDD)
Screen size: 15"
Graphics: NVIDIA GEFORCE 4 GB

Mama Debora
Mwanamke pekee nayecheza na software development hapa JF.
Nakukubali sana 😍😍pande hizo
 
Wanaume bana..
eti mume wangu jana kanitoa out dinner baada ya kunikuta niko frustrated na ku-debug errors kwenye prototype ya system nayoitengeneza.
View attachment 2186010
Tumerudi home, yeye kafikia kulala mie nikafikia kwenye computer... Pambana sana na errors mpaka nikafanikiwa kuziondoa.


*Coding life is very fun!
kiboko ya madalali...
 
Wanaume bana..
eti mume wangu jana kanitoa out dinner baada ya kunikuta niko frustrated na ku-debug errors kwenye prototype ya system nayoitengeneza.
View attachment 2186010
Tumerudi home, yeye kafikia kulala mie nikafikia kwenye computer... Pambana sana na errors mpaka nikafanikiwa kuziondoa.


*Coding life is very fun!
😂😂😂
 
Hata kama ni 2 Mil
Budget kubwa hii kama unataka no nonsense laptop ambayo ukaaji chaji ni kawaida ila perfomamce kubwa, most of time utaitumia ndani chukua Gaming laptop yenye i5 ama i7 inayoishiwa na H ama ryzen 5 ama 7 inayoishiwa na H.

Mfano Ryzen 5600H, 5800H ama i5 10500H etc.

Pia iwe na Dedicated gpu GTx 1650, rtx 3050, etc.

Kama hii

Kama unataka laptop inayokaa na chaji, portable (ultrabook) na perfomance sio kubwa kama juu hapo lakini still inafanya kazi zako vizuri tafuta i5 ama i7 ama ryzen 5 na 7 ila hizi ziwe zinaishiwa na U ama G. Pia zinakuwa na Graphics card zenye neno MX mfano Nvidia Mx 450, mx550, Mx 350 etc.

Kama hii

Pia una option ya kuangalia mtaani unaweza pata refurb around 1m, ama kuagizishia mwenyewe Amazon direct.

Kama hii
Amazon product ASIN B08C81JT39
 
Budget kubwa hii kama unataka no nonsense laptop ambayo ukaaji chaji ni kawaida ila perfomamce kubwa, most of time utaitumia ndani chukua Gaming laptop yenye i5 ama i7 inayoishiwa na H ama ryzen 5 ama 7 inayoishiwa na H.

Mfano Ryzen 5600H, 5800H ama i5 10500H etc.

Pia iwe na Dedicated gpu GTx 1650, rtx 3050, etc.

Kama hii

Kama unataka laptop inayokaa na chaji, portable (ultrabook) na perfomance sio kubwa kama juu hapo lakini still inafanya kazi zako vizuri tafuta i5 ama i7 ama ryzen 5 na 7 ila hizi ziwe zinaishiwa na U ama G. Pia zinakuwa na Graphics card zenye neno MX mfano Nvidia Mx 450, mx550, Mx 350 etc.

Kama hii

Pia una option ya kuangalia mtaani unaweza pata refurb around 1m, ama kuagizishia mwenyewe Amazon direct.

Kama hii
Amazon product ASIN B08C81JT39
Ahsante
 
Habari kama kichwa kinavyojieleza ni PC gani nzuri kwa ajili ya mambo ya software development (coding) ambayo itakuwa chap plus inaweza kuinstall windows 11 bila kuedit file zake yaan full supported.

Ahsante.
Pc ya kwa ajili ya programming blaza, inategemea unataka kutumia kwa nini, kama ni web apps tu, pc yeyote yenye 4Gb Ram, 1.5 Ghz....itafanya.
.
Android application ni expensive kidogo minimum 8 Gb ram, lakini recomended ni 12Gb Ram. at least 2.5 GHZ.
 
Pc ya kwa ajili ya programming blaza, inategemea unataka kutumia kwa nini, kama ni web apps tu, pc yeyote yenye 4Gb Ram, 1.5 Ghz....itafanya.
.
Android application ni expensive kidogo minimum 8 Gb ram, lakini recomended ni 12Gb Ram. at least 2.5 GHZ.
Hujataja Bei inauzwaje
 
Back
Top Bottom