PC yangu aina ya Dell haiwaki

PC yangu aina ya Dell haiwaki

Blue Bahari

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
1,851
Reaction score
2,171
Wakuu habari zenu.

Nina laptop aina ya Dell ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sasa. Siku nne zimepita ambapo nilipomaliza kuitumia, nikaizima kama kawaida. Sasa jana mchana nikataka kuiwasha ili niitumie katika kazi zangu kama kawaida.

Lakini cha ajabu nikashangaaa kila nikibonyeza ile button ya kuwashia, PC haiwaki. Na mbaya zaidi hakuna mwanga wowote unaojionyesha katika monitor, au sehemu yoyote ile ya PC.

Nimejaribu kutoa betri na kudisconnect adapter kisha kubonyeza button ya kuwashia kwa muda wa 30 seconds then nikaconnect na kuiwasha tena PC lakini hakuna nilichofanikiwa.

Wajuzi naomba msaada.
 
Wakuu habari zenu.

Nina laptop aina ya Dell ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sasa. Siku nne zimepita ambapo nilipomaliza kuitumia, nikaizima kama kawaida. Sasa jana mchana nikataka kuiwasha ili niitumie katika kazi zangu kama kawaida.

Lakini cha ajabu nikashangaaa kila nikibonyeza ile button ya kuwashia, PC haiwaki. Na mbaya zaidi hakuna mwanga wowote unaojionyesha katika monitor, au sehemu yoyote ile ya PC.

Nimejaribu kutoa betri na kudisconnect adapter kisha kubonyeza button ya kuwashia kwa muda wa 30 seconds then nikaconnect na kuiwasha tena PC lakini hakuna nilichofanikiwa.

Wajuzi naomba msaada.
Ime expire hiyo mkuu. Kanunue nyingine
 
Una ubakika iyo adapter yako ni nzima ??
Toa battery weka pembeni,
Chomeka adapter kwenye laptop jaribu kuiwasha kwa kutumia umeme wa direct kutoka kwenye adapter..
Ikiwaka ujue battery yako ni mbovu.
Wenzenu tunasoma haya mambo darasan nyie mwataka kuelekezwa bure..sawa lakini.
Jaribu hiyo njia ikishindikana nakupa njia nyingine
 
Either battery haijakas sawa ama adapter imekufa. Chomoa betri then washa bila betry chomeka tu adapter, ama la chukua digital meter pima contiunity
 
Either battery haijakas sawa ama adapter imekufa. Chomoa betri then washa bila betry chomeka tu adapter, ama la chukua digital meter pima contiunity
Nashukuru kwa maelekezo, labda nijaribu kwa kutumia digital meter, sababu njia ya kwanza bado haijaleta mafanikio.
 
Una ubakika iyo adapter yako ni nzima ??
Toa battery weka pembeni,
Chomeka adapter kwenye laptop jaribu kuiwasha kwa kutumia umeme wa direct kutoka kwenye adapter..
Ikiwaka ujue battery yako ni mbovu.
Wenzenu tunasoma haya mambo darasan nyie mwataka kuelekezwa bure..sawa lakini.
Jaribu hiyo njia ikishindikana nakupa njia nyingine
Mkuu! Ndiyo maana ya kuja huku ili kuwaona ninyi watalamu.
BTW nimejaribu njia hiyo ya kuchomoa betri na kisha kuitumia adapter directly..... Lakini tatizo liko pale pale.
 
Mkuu una uhakika na adapter yako kwamba ni nzima ?
Ulizima battery ilikua na charge asilimia ngap ?

Jaribu kwanza hiyo adapter kwenye pc nyingine uone kama inafanya kazi au azima adapter nyingine jaribu kwenye pc yako..
Kabla hatujaenda kufanya checkup kubwa lazima tujiridhishe na vitu vdogo vdogo kwanza.
Huenda shida ipo kwa boot loader au motherboard..
 
Mkuu una uhakika na adapter yako kwamba ni nzima ?
Ulizima battery ilikua na charge asilimia ngap ?

Jaribu kwanza hiyo adapter kwenye pc nyingine uone kama inafanya kazi au azima adapter nyingine jaribu kwenye pc yako..
Kabla hatujaenda kufanya checkup kubwa lazima tujiridhishe na vitu vdogo vdogo kwanza.
Huenda shida ipo kwa boot loader au motherboard..
Poa, nitaleta mrejesho.
 
Petroli uliyotumia una hakika haijachakachuliwa?

nenda oilcom au ile sheli pale mbele nunua kidumu cha mafuta taa

mwagia rudia kuwasha tena,isipowaka Achana nayo.siku zake hazijafika.
 
Mkuu una uhakika na adapter yako kwamba ni nzima ?
Ulizima battery ilikua na charge asilimia ngap ?

Jaribu kwanza hiyo adapter kwenye pc nyingine uone kama inafanya kazi au azima adapter nyingine jaribu kwenye pc yako..
Kabla hatujaenda kufanya checkup kubwa lazima tujiridhishe na vitu vdogo vdogo kwanza.
Huenda shida ipo kwa boot loader au motherboard..
Habari mkuu... naomba msaada hapav
Nina pc aina ya Hp..hua naitumia kwa umeme wa direct kwa muda mrefu ikiwa na battery yake japo ni function less. Hivi karibuni imenizimia ghafla. Nikafanya kutoa io battery mbovu na ku connect kwa umeme wa direct.. ikawaka kwa muda wa dk. Kadhaa then ikazima.
Pc inakua imezima but kwa pembeni kuna taa zinawaka kuashiria pc iko on but hai display chochote.
Saiv nikijaribu kuiwasha haiwaki tena wala taa za pembeni haziwaki
 
Habarini .. wadau naomba msaada hapa
Nina pc aina ya Hp..hua naitumia kwa umeme wa direct kwa muda mrefu ikiwa na battery yake japo ni function less. Hivi karibuni imenizimia ghafla. Nikafanya kutoa io battery mbovu na ku connect kwa umeme wa direct.. ikawaka kwa muda wa dk. Kadhaa then ikazima.
Pc inakua imezima but kwa pembeni kuna taa zinawaka kuashiria pc iko on but hai display chochote.
Saiv nikijaribu kuiwasha haiwaki tena wala taa za pembeni haziwaki
 
Petroli uliyotumia una hakika haijachakachuliwa?

nenda oilcom au ile sheli pale mbele nunua kidumu cha mafuta taa

mwagia rudia kuwasha tena,isipowaka Achana nayo.siku zake hazijafika.
Naona chenga tu.
 
Back
Top Bottom