PC yangu ina matatizo ya kuunguruma sana

PC yangu ina matatizo ya kuunguruma sana

Wizsoudy

Member
Joined
Oct 22, 2022
Posts
11
Reaction score
8
PC yangu mbona kama umeiwasha unatumia halafu ukaicha kwa muda kidogo ikiwa monitor screen ipo "on" baadae inazima ila mashine inavuma sasa ukirudi ukabonyeza keyboard yoyote ili iwake na kudisplay kama ulivyoiacha haiwaki yani mpaka utumie power button tena uizime moja kwa moja halafu ndio uiwashe tena?
 
INATUMIA CARD YA GRAPHICS?
kama haina kadi
ifungue cpu
chomoa ram zote
puliza vumbi na bloa za upepo
safisha ram na karatasa sugua yale meno ya gold
rudisha ram moja test, then weka zingine
IKIRUDIA KUFANYA HIVO HIVO MUONE FUNDI ALIYE KARIBU NA WEWE

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
INATUMIA CARD YA GRAPHICS?
kama haina kadi
ifungue cpu
chomoa ram zote
puliza vumbi na bloa za upepo
safisha ram na karatasa sugua yale meno ya gold
rudisha ram moja test,then weka zingine
IKIRUDIA KUFANYA HIVO HIVO MUONE FUNDI ALIYE KARIBU NA WEWE

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Aisee..good..me yangu inaukungu upande wa kushoto...ilianza kufanya hivyo nikigonga kidogo ukungu unapotea...but now hata uigonge Vipi bado ukungu uko...hili tatizo laweza kuwa nini !?
16679854732291490717604.jpg
 
Pengine cooler haiwezi kuhandle cpu ama thermal paste imekauka, anza na kubadili thermal paste, 3000 tu kkoo.
 
Back
Top Bottom