kimberlite
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 323
- 211
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OKAYA MKUUco uzembe, thea z alwys change ov plans! nmeona MD dazn suit me, kama kupasua panya tu naogopa, maiti itakuaje!
OKAYA MKUU
NI PM SABABU MIMI NAISOMA HIYo LL,B<BACHELOR OF LAW>
as far as una div 1 nzuri vyuo kama udsm na mzumbe unapata vizuri sana!!!!! inshort it's possible....help plzzzz....kuna uwekano wa mtu aliesoma PCB advanced kusoma Law chuo?? au combination yoyote ya science then usome law??
Combination yoyote ile unaweza kusoma Law ila sharti uwe ulifanya vizuri somo la Kiingereza O level walau kwa kiwango cha C.....na cut off points za TCU na Chuo husika
Fani unazotaka kusoma ndio
fani ghali duniani katika kusomea yaani sheria na medicini.Ushauri wangu
kama unaweza kusoma medicine bora usome tu.maana ukija sheria uwe na
uwezo wa kujenga hoja inayolindwa na sheria na ushahidi.pili,sheria
inamfunza mtu ajue swali moja linaweza kuwa na majibu hata matatu ndio
maana kuna upande wa utetezi,mashtaka na muamuzi(hakimu au jaji).sitaki
kuingia katika ubishani wa chuo gani ni bora maana kuna mindset zinawaza
kianalogi zaidi.na kama unataka sheria ujiandae kiakili na kifedha
maana kuna mwaka mmoja wa law school.
Mkuu mpigamsuli,kirefu cha LL.B. sicho ulichokiandika. Kirefu chake ni Legum Baccalaureus yaani Bachelor of Legal Science. Kuhusu mada,sasahivi UDSM hawachukui yeyote asiye na History A Level. Hivyobasi, michepuo ya HGL,HGK,HKL na HGE ndiyo inayotoa wanafunzi pale UDSM-Law. Ndio kusema,PCB hawezi kusoma sheria pale UDSM kwasasa.Sijui kuhusu vyuo vingine.UZEMBE MWINGINE BHANA KAMA ULIKUWA NA MALENGO YA LL,b[LEX LEGIS BACARALEOUS ] SI UNGECHUKUA HGL,HKL,HGK,&HGE DAH