Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Juzi nilikuwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kufuatilia taarifa mbalimbali.
Nikiwa pale nikasikia karani wa Mahakama akitaja majina Na kuelekeza kuwa waliotajwa kesi zao ziko Kwa mahakimu Kwa kutaja namba ya vyumba.Nikaamua nifuatilie kesi mojawapo iliyokuwa inaendeshwa Na Afisa wa Takukuru Wilaya ya Kinondoni dhidi ya Watumishi wa Serikali Manispaa ya Kinondoni.
Kilichonishangaza ni kuona wale Watumishi licha ya kuwa Na Kesi bado wapo Ofisini wanaendelea Na Kazi zao kama kawaida.Swali langu ni Je Mtumishi wa Serikali anapokuwa ameshtakiwa Na TAKUKURU je wakati wote wa kesi anakuwa kazini au anasimamishwa Kazi?
Na kama anasimamishwa Kazi kwanini Watumishi hao bado wako Kazi?
Ni kwanini hawajasimamishwa Kazi kama Sheria inavyotaka?
Nikiwa pale nikasikia karani wa Mahakama akitaja majina Na kuelekeza kuwa waliotajwa kesi zao ziko Kwa mahakimu Kwa kutaja namba ya vyumba.Nikaamua nifuatilie kesi mojawapo iliyokuwa inaendeshwa Na Afisa wa Takukuru Wilaya ya Kinondoni dhidi ya Watumishi wa Serikali Manispaa ya Kinondoni.
Kilichonishangaza ni kuona wale Watumishi licha ya kuwa Na Kesi bado wapo Ofisini wanaendelea Na Kazi zao kama kawaida.Swali langu ni Je Mtumishi wa Serikali anapokuwa ameshtakiwa Na TAKUKURU je wakati wote wa kesi anakuwa kazini au anasimamishwa Kazi?
Na kama anasimamishwa Kazi kwanini Watumishi hao bado wako Kazi?
Ni kwanini hawajasimamishwa Kazi kama Sheria inavyotaka?