PCCB usaili Dodoma

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Habari zenu wakulungwa!!

Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?

Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye

Asante
 
Habari zenu wakulungwa!!

Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?

Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye

Asante
Unapenda kitonga we limwanaume
 
Habari zenu wakulungwa!!

Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?

Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye

Asante
Last time mlisafiri pamoja namna hyo mkadiskas desa ndani ya gari kisha ile intavyuu ikafutwa
 
kupanda basi ni cheaper and safer kuliko kuchanga mafuta na kwenda na private car, mkumbuke huu ni mchujo wa kwanza na mpo wengi so chances are slim, usiingie sana gharama kwa kitu chenye probability ndogo.
tunaoondoka na basi dsm tarh 7 tujuane hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…