Unapenda kitonga we limwanaumeHabari zenu wakulungwa!!
Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?
Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye
Asante
kasema wachangie nauli kitonga kimetokea wapiUnapenda kitonga we limwanaume
Last time mlisafiri pamoja namna hyo mkadiskas desa ndani ya gari kisha ile intavyuu ikafutwaHabari zenu wakulungwa!!
Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?
Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye
Asante