N NJALI JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 1,534 Reaction score 1,090 Feb 10, 2014 #1 Wana janvi kunatetesi kwamba wanafunzi wengi wanaosoma mchipuo wa PCM wanakuwa wanaweza sana Somo la Physics kuliko wale wa PCB je kuna ukweli wowote? Kama kweli unafikiri ni kwa nini?NAKARIBISHA MAWAZO.
Wana janvi kunatetesi kwamba wanafunzi wengi wanaosoma mchipuo wa PCM wanakuwa wanaweza sana Somo la Physics kuliko wale wa PCB je kuna ukweli wowote? Kama kweli unafikiri ni kwa nini?NAKARIBISHA MAWAZO.
O Offline User JF-Expert Member Joined Dec 20, 2010 Posts 3,828 Reaction score 2,393 Feb 10, 2014 #2 Kwa nini usiulize huko ulikopata tetesi? #cra .p
P phreidyz Member Joined Dec 18, 2013 Posts 17 Reaction score 2 Feb 10, 2014 #3 chukua watu kazaa wanaosoma pcm na wengine wanao soma pcb ukiwauliza unaweza pata hints