Pcm na udaktari inawezekana?

kibakwe

Senior Member
Joined
May 10, 2011
Posts
171
Reaction score
22
nimesoma PCM 1.7 naweza kusomea degree ya udaktari?
 
acha mbwembe,wa wapi wewe? Au unataka kulingisha hyo 7 yako BBC? Je sie 2liopiga 3 enzi hzo tusemeje?
 
unaweza kusoma vyuo binafsi kama KCMC, IMTU au St. Francis University College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS) kama biology o-level ulipata C na kuendelea lakini kwa Muhimbili sahau. Kwa mfano IMTU criteria ni "At least two principal level passes in Biology, Chemistryand either Physics orMathematics". Kwa mantiki hiyo ni kuwa unaweza kuwa na principle mbili ya Biology na Physics au Chemestry na math. Wao KCMC wamekuwa liberal zaid maana wao wanataka principle tatu kutoka masomo yoyote ya sayance "Three principal level passes in any science subjects"
Kwa msaada zaidi check na TCU guide book
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…