Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHIEF GANI? KIJIJI KIPI?1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Ww na akina nani?Chadema hatumtaki Mboe. Anafosi kubaki kuwa Mwenyekiti wa maisha
CHADEMA tuna mambo mengi mbele yetu kuna UCHAGUZI mambo mengine tutuyaongelea baada ya Uchaguzi Mkuu.Chadema hatumtaki Mboe. Anafosi kubaki kuwa Mwenyekiti wa maisha
Why always Mbowe? Cheyo, Rungwe mbona hamuwasemi?Chadema hatumtaki Mboe. Anafosi kubaki kuwa Mwenyekiti wa maisha
Hatusindikizi Mtu.Mnasindikiza wagombea wa CCM. Bora mngeenda kulima
Kweni wakina Lissu Sugu Lema waliingia kwa Tume ipi?! Bungeni.Kwa tume ipi?
Watanzania wameona ATC, Nyerere (Stiglers Gorge) HEP, SGR, Hospitali n.k. Nani ahangaike na wasanii wa kisiasa?Tunajua mumepanga kuiba kura za Uraisi lakini OLE WENU safari hii hao polisi ambao hawafiki hata elfu 20 na sisi Watanzania ni Milioni 60 sijui kama watatuzuia.
1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Umenena vema, CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaUkiwa mjinga usidhani kila mmoja ni mjinga Kama wewe.