GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Moyo wangu umejawa na simanzi, macho yamefunga kwa huzuni, uso umesawajika kwa haya ninayoyasoma yaliyotendwa na binadamu kwa binadamu wenzao.
Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake. Mengi ya mambo aliyoyaandika nmeyasoma pia toka kwa waandishi wengine na wana JamiiForums pia humu.
Ntaleta summary tuweze jadiliana na pengine kujifunza kitu flani. Ingawa yameongelewa sana humu ndani, lakini ngependa kufahamu tumejifunza nini.na nini hatma ya siasa zinazoendelea sasa Rwanda ukilinganisha na hayo yaliyotokea hapo mwanzo mpaka kufika hapa.
Inaumiza sana. Inasikitisha sana. Inahuzunisha sana. Inafifisha moyo. Afrika, laiti ungelijua yale yakupasayo kutenda.
Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake. Mengi ya mambo aliyoyaandika nmeyasoma pia toka kwa waandishi wengine na wana JamiiForums pia humu.
Ntaleta summary tuweze jadiliana na pengine kujifunza kitu flani. Ingawa yameongelewa sana humu ndani, lakini ngependa kufahamu tumejifunza nini.na nini hatma ya siasa zinazoendelea sasa Rwanda ukilinganisha na hayo yaliyotokea hapo mwanzo mpaka kufika hapa.
Inaumiza sana. Inasikitisha sana. Inahuzunisha sana. Inafifisha moyo. Afrika, laiti ungelijua yale yakupasayo kutenda.