Habari wakuu,
Nimenunua gari mwaka jana mwishoni but leo hii limeanza kitatizo kidogo inachelewa kupokea moto mpaka niikanyagie vizuri mpaka chini ndo inapeleka moto vizuri, shida inaweza kua nini wadau... Gari ni nissan juke.
Mkuu, kuna mengi ya kufahamu kabla ya kutatua changamoto inayo kabili gari yako, na ili gari itibiwe kwa ufasaha onana na mafundi/ wataalamu waliobobea karibu yako.
Mkuu, kuna mengi ya kufahamu kabla ya kutatua changamoto inayo kabili gari yako, na ili gari itibiwe kwa ufasaha onana na mafundi/ wataalamu waliobobea karibu yako.
Habari wakuu,
Nimenunua gari mwaka jana mwishoni but leo hii limeanza kitatizo kidogo inachelewa kupokea moto mpaka niikanyagie vizuri mpaka chini ndo inapeleka moto vizuri, shida inaweza kua nini wadau... Gari ni nissan juke.