Pedi za binti ni jukumu la nani?

Meshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
386
Reaction score
479
Hivi kwenye familia nani mwenye jukumu la kununua pedi kwa ajili ya binti? baba au mama?
 
Both mother and father, even dada, kaka, shangazi, bibi and any other family members with good determination.
 
Hivi kwenye familia nani mwenye jukumu la kununua pedi kwa ajili ya binti!
Baba au mama?


Mbona huulizi mwenye jukumu la kumnunulia under-wear ni nani??!!
 
Na jukumu la baharia kwa huyo alienunuliwa pedi ni...?
 
Pedi ni jukumu la mama na bintiye kama mama hayupo basi baba unakuwa kiraka.
 
Wote tu Baba na mama kama wapo. Lakini inatokea moja hayupo kwa namna yeyote anayebaki ni mhusika mkuu.
 
Jukumu la pedi za binti ni mama mzazi au dada zake...

Jukumu la pedi za mke ni mume...


Cc: mahondaw
 
Baba toa hela, mama akanunue
 
Baba mwenye akili humtunza binti yake kwa kumpatia mahitaji yake yoote. Ndiyo maana hata kwenye mahari endapo baba atakula yoote na mama akabaki tu na lile blanketi mama huwa ananyamaza kwani mahitaji yoote alikuwa anatoa baba. Mnapenda au hampendi jukumu ni la baba. Mama kazi yake ni kumchunguza tu kama yupo sealed na akigundua kuwa kameanza upuuzi anatakiwa amtonye baba haraka wasijepata kajukuu mapema
 
Hivi kwenye familia nani mwenye jukumu la kununua pedi kwa ajili ya binti? baba au mama?
wote wawili,,ila kwa heshima baba hutakiwi kununua na kuja kumkabidhi binti,,we nunua njoo mpe mkeo amkabithi,,au km vp mpe pesa binti mwambie za matumizi yake madogo madogo ya mwezi mzima,,yy atajipangilia mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…