Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kuna uzi humu walileta wanawake wenzako wakisema zinabadili mzunguko wa hedhi. Usearch utaupata. Ningekusaidia lakini utu uzima umeingia.Kuna hizi pedi zina ubaridi ubaridi flani hivi, ukivaa nyeti zinakua kama zinapulizwa, kama zinavutwa, kama zimepakwa pipi kali....
Hivi kiafya hazina madhara kweli? Moja wapo ni hii HQ
View attachment 645011
[emoji23]Qummer inakua kama imepakwa pipi kali.....
Hahahaha nimecheka sana.
Tuseme qummer ina taster kama za kwenye ulimi?
Natamani kuyasikia maoni ya watu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) hapaKuna hizi pedi zina ubaridi ubaridi flani hivi, ukivaa nyeti zinakua kama zinapulizwa, kama zinavutwa, kama zimepakwa pipi kali....
Hivi kiafya hazina madhara kweli? Moja wapo ni hii HQ
View attachment 645011
Mtuwekee na picha basiMie mtumiaji sana na hazijawahi niletea shida yeyote.
Jani la mgomba!!!! ChinekeeeeeMabibi zetu mbona hawakuvaa pedi, walikua wanachana vipande vya kanga ilioisha tu, au majani ya mgomba, ngoma walete [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Nataka ila nawaza usalamaEvelyn Salt hutaki kupooza injini ?
Ya nini??Mtuwekee na picha basi
Injini ni moyo mkuu [emoji23][emoji23]Evelyn Salt hutaki kupooza injini ?
Ndyo maana K za siku hizi sio tamu sana kwa mambo km hayaKuna hizi pedi zina ubaridi ubaridi flani hivi, ukivaa nyeti zinakua kama zinapulizwa, kama zinavutwa, kama zimepakwa pipi kali....
Hivi kiafya hazina madhara kweli? Moja wapo ni hii HQ
View attachment 645011
Ni huyo wako tu ndo sio mtamuNdyo maana K za siku hizi sio tamu sana kwa mambo km haya