pedofil

vicent tibaijuka

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
268
Reaction score
59
Jamani wana JF, naomba kuuliza, pedofil si ni mtu akutanae na mtoto ambaye hajafikisha miaka 18? kama ni hivyo, je sheria hii inafanya kazi Tanzania? kama ndo itakuwaje Kanumba awe maarufu na hta viongozi wajuuwafike katika msiba na wakati tayari yuko katika kundi hili la pedofil. (alikuwa na lulu wakati hajafikisha miaka 18): nielewesheni tafadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…