BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Maradona au pele?Pelle ni chizi madawa ya kulevya sio mazuri
Yule aliyecheza mpira huku kukiwa hata sheria ya kuzidi haipoMaradona au pele?
Ameanza kula unga lini au ni chuki tu kwake?Yule aliyecheza mpira huku kukiwa hata sheria ya kuzidi haipo
Ameanza kula unga lini au ni chuki tu kwake?
Umeshinda anakula ungaMimi sinaga chuki na wazee wasiojua mpira
Mbona lile la mkono halijaonyeshwa.
Dah.. watanzania tuna tabu sana ss umekuja kwa hasira namna hyo km umefanywa nn cjui co Pele wala mesi wanaojua km kuna kinchi kinaitwa Tanzania kuna kakiumbe kamekasirika Pele kumszungumzia vibaya Messi in short hzo ni shobo laiti ungekuwa wa kike ww.......
Una mtoto?
Mm binafsi ni shabiki wa messi ila nimeshindwa kuelewa hii panic unaitoa wp? au wataka tujue kuwa unampenda sana Messi? maana moto uliokuja nao sio mchezo punguza shobo bro!Imeekuma sio! Habari ndiyo hiyo mkuu....zee zima lina mambo ya kike...kwanza asijifananishe na Messi hata kidogo, sio hadhi yake.
Wewe ni nani wakuniuliza hilo swali!
Pelle ni chizi madawa ya kulevya sio mazuri
Mm binafsi ni shabiki wa messi ila nimeshindwa kuelewa hii panic unaitoa wp? au wataka tujue kuwa unampenda sana Messi? maana moto uliokuja nao sio mchezo punguza shobo bro!
Yule aliyecheza mpira huku kukiwa hata sheria ya kuzidi haipo
Tatzo umri jifunze kuishi na wazee la sivyo siku utagombana na baba yako kisa kumvunjia heshma babu yako akili zao huwa haziko sawa to me Messi is the only king i know!Sio hivyo kamanda wangu, huyu mzee amezidi kumkandia Messi...ameshaona amemzidi mbali ndiyo maana anatafuta kila njia ya kumkosoa ili aonekane si chochote. Kaniudhi sana huyu babu....
Mtu fulaniImeekuma sio! Habari ndiyo hiyo mkuu....zee zima lina mambo ya kike...kwanza asijifananishe na Messi hata kidogo, sio hadhi yake.
Wewe ni nani wakuniuliza hilo swali!
Hahahaaa hata offside kipindi hicho kulikuwa hamuna...so walikuwa wanajifungia holelaholela tu. Na ndiyo maana yakafika magoli 1000. Kipindi hicho Messi angelikuwepo angepiga hata 5000 goals na world cup 6.