Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wazanzibari hawaja wahi kumwangusha mpenda haki.Huu hapa ni mkutano uliopigwa leo kwenye viwanja vya Mapofu , Wingwi kisiwani Pemba , Maalim Seif si mtu wa kawaida hii ni Taasisi , haiwezekani kwa mtu wa kawaida kuungwa mkono kwa kiwango hiki .
View attachment 1586072View attachment 1586073View attachment 1586074View attachment 1586075
Mgombea wa CCM nasikia anazunguka tu mjini Hana jipyaHuu hapa ni mkutano uliopigwa leo kwenye viwanja vya Mapofu , Wingwi kisiwani Pemba , Maalim Seif si mtu wa kawaida hii ni Taasisi , haiwezekani kwa mtu wa kawaida kuungwa mkono kwa kiwango hiki .
View attachment 1586072View attachment 1586073View attachment 1586074View attachment 1586075
Wenyewe wakijutana,hats hawasalimiani Sasa,wanabaki kulaumiana,imekuwaje tumefika huku?Halafu wote hawana majibu,kuwa saidia.Waende kwa wapiga kura na wimbo was Uhuru,haki na maendeleo.Mwaka wa Historia...
Lumumba watasema picha za Lowassa hizo!Huu hapa ni mkutano uliopigwa leo kwenye viwanja vya Mapofu , Wingwi kisiwani Pemba , Maalim Seif si mtu wa kawaida hii ni Taasisi , haiwezekani kwa mtu wa kawaida kuungwa mkono kwa kiwango hiki .
View attachment 1586072View attachment 1586073View attachment 1586074View attachment 1586075
CHADEMA inamuunga mkono Maalim SeifUmeamia kwa Mzee Seif, baada ya mgombea wako kuahidi kuwa atahakikisha Tanzania na watanzania wanarudi katika enzi za ukoloni! Poleni!
Leo wana mkutano wao huko kwenye ngome yao Makunduchi ambapo wamechokwa tayari. Kuficha aibu kama kawaida yao, wamekusanya wana CCM Unguja nazima, wengine wametoka bara na kupelekwa huko. Gari zimekodiwa na kutiliwa mafuta kutoka kila pembe ya kisiwa ilimradi tu waonekane wana watu wengi kumbe ni vijana wasiopiga kura na wanaokwenda kupiga drift kwa mafuta ya bure 😀Mgombea wa CCM nasikia anazunguka tu mjini Hana jipya