Pemba ni sehemu ya Tanzania, kikinuka huko kimenuka Tanzania nzima




Kinuke pemba kwamba ndo kinuke nchi nzima?? Wewee ulisikia wapi???

Unaweza kuchoma tairi hapo Mwenye junction?????
 
Mkuu kwani wewe utakuwa umehamia Serbia? Nadhani wengi huwa hatuelewi kuwa kukitokea vurugu huwa haichagui wahanga ndio maana Akwilina RIP angetosha kuwa mfano kwa wavivu wa kufikiri.
Wanafikiri kikinuka watakimbilia ulaya tena kama kipindi cha mkapa
 
Baadaya ya kukata vichwa watu na bado mkatawaliwa kama mwali.......nawasihii tulieni maana hasa hivi hata mkitaka kunya au kula mavi bado mtatawaliwa tu.......tena watu wanao kuja uko sasa hivi wanakuja na mafuta ya minara au vasseline......... shughuli mtaiona
 
Hawa polis walikalishwa na kikundi cha watu 6 mkuranga wataiweza halaik?
Unaongea pumba tu.kuna aina ya uhalifu unaweza kukuchua mda kumpata adui,mbona wewe ushaibiwa bila kutegemea na ujanja wako.

Jitokeze wakuvunje zile sehemu za uzazi tuje kumsaidia mkeo mimba
 
Unaongea pumba tu.kuna aina ya uhalifu unaweza kukuchua mda kumpata adui,mbona wewe ushaibiwa bila kutegemea na ujanja wako.

Jitokeze wakuvunje zile sehemu za uzazi tuje kumsaidia mkeo mimba
Msiposhughulika na Tume ya Makuwadi hiyo mtakunya mmesimama. No fear.
 
Akienda kwenye maandamano au kulianzisha dude amuache shemeji yetu nyumbani walau tuje tufaidi kidogo kuliko kupata hasara maana lazima akafie huko na ukoo wake utakuwa umesimama hvyo tutamsaidia kuuongeza ukoo wake.baba nenda baba sisi tupo nyuma ya mkeo
Unaongea pumba tu.kuna aina ya uhalifu unaweza kukuchua mda kumpata adui,mbona wewe ushaibiwa bila kutegemea na ujanja wako.

Jitokeze wakuvunje zile sehemu za uzazi tuje kumsaidia mkeo mimba
 
Unafurahia kufanya vurugu!...kinukisheni lakini msije makajutia
Kwa taarifa tu; fanya fujo uone walichinjwa sana mpaka serikali ikaamua kuwachukua mabaka baka na kuwavalisha jezi za fanya fujo uone. Kwa hiyo kilichotokea ni kama vita majamaa wakiingia eneo wanakinukisha tu wanagawa dozi nyumba kwa nyumba ila nao walichinjwa vilevile.

Wapemba hawaogopi kufa! Si kama sisi watu wa bara.
 
Mosi: Atakaye vunja amani na usalama atachukuliwa hatua iwe Pemba, iwe wapi

Pili: Muuche kujidanganya kuwa mnaogopwa

Tatu: Muache kujifariji kuwa mtaungwa mkono

Mbona hatua hamjachukua tume inavunja amani
Swala la kuungwa mkono si hoja usalama wa watu ni muhimu
 
CCM endeleeni kujiegemeza kwa vyombo vya umma,kuona mnapendwa saaana,endeleeni kujidanganya kama ilivyo kwa wanancho wapo na upendo wa vyama mbalimbali ndio hivyo hivyo ndani ya vyombo vya umma,kama walivyo wapenzi wa mpira na timu zao.

Tatizo mlilonalo ni kujiona mpo juu na vyombo vyote hivyo vinawasujudia nyinyi,siku watakapo geuza mtutu na kuwapakiza kwenye kalandinga ndipo mtakapoelewa kuwa embe ntunda.

Jifanyeni vipofu na viziwi na hamjui hata kusoma magazeti na kusikiliza habari,kwa kuwa tu mnajiaminisha mnapendwa saana na vyombo vya ulinzi.

Kama mnapima taarifa zilizotolewa na vyombo hivyo katika kujiandaa na uchaguzi basi CCM mmekalia kuti kavu,vyombo hivyo vipo na vinapima upepo unavyovuma,ukitaka kujua hali si shwari ni lini uliona Raisi wa jamhuri ya watu wa Tanzania analindwa kwa silaha nzito,hii ni kiashiria kuwa amani ni ya kusua sua na yote hii inasababishwa na utawala wa kubahatisha wa CCM,wananchi wanaishi kwa woga ndani ya nchi yao.

Juzi nilimsikiliza Musiba ameongea point nzuri kasoro yake anashindwa kuirekebisha CCM katika kipindi hiki muhimu,achana na siku zote ,kipindi hiki ni kipindi tete na hakitaki kujionyesha kuwa mimi au wewe ni hodari na tunaweza.

watu wanapoamua na kusema hatuogopi kufa basi wewe au mimi tunaojidai tunaweza kuchota maji kwa pakacha ni watu tunaopenda kuishi maisha bila ya kufa kwa kutegemea sio kujitegemeza unategemea ulindwe,tumemuona Makonda akitembea na mabodigadi wa kila aina na rangi ,amedhalilishwa mchana kweupe.

Hayo yaliyomkuta Makonda yanaweza kunikuta mimi au wewe au mwengine yeyote yule bila ya kujali cheo ,tumewaona vyama na viongozi wenye majeshi makubwa makubwa na yenye nguvu kuliko yetu,mwisho wake wameishia vibaya sana na aibu.

Waachwe wananchi wapige kura na kuchagua wanaemtaka hakuna kulazimishana wakichagua mbovu au nzima ,ndipo watakaposoma kutumia uhuru wao wa kuchagua kwa kumchagua kiongozi anaemtaka.

CCM msiwajenge wananchi wapigie kwa kuchagua chama bila kuangalia sera,mmewagawa wananchi leo wananchi hawaangalii sera wanaangalia chama ndio kuepuka aibu inabidi mulazimishe,sivyo hivyo kubalini kuingia kwenye uchaguzi mchaguliwe au wananchi wenyewe wachague kwa mvuto wa sera sio wasanii.

Hivi unadhani kila anehudhuria kwenye tamasha lenu la wasanii,maana hamna mikutano siku hizi mna matamasha ya muziki na vichekesho atawapigia kura ? imekula kwenu.
 
Kinuke pemba kwamba ndo kinuke nchi nzima?? Wewee ulisikia wapi???

Unaweza kuchoma tairi hapo Mwenye junction?????
Labda huwajui Wapemba! Hata huko wenyewe wanaambiwa! Kaa umbali wa kiasi kadhaa Wapemba wakikinukisha.

Kwa walichokifanya kuwaengulia wagombea wao hiyo taarifa nilivyoisoma tu nikashika kichwa! Mzee kasema liwalo na liwe! Halafu siasa ya Pemba ni tofauti na ya Bara.
 
Kuibembeleza tume itende haki kumefikia mwisho. "It is too much to bear". Kinuke tu hakuna namna.
 
Halafu kitu ambacho wasichokijua sehemu nyingi tu duniani kikishanuka Jeshi huwa haliwi pamoja na watawala. Wenye shobo na watawala ni askari polisi. Mifano hii imetokea nchi nyingi hata barani Afrika.
 
Tatizo kwani ni nini?? Kama tatizo ni kushindwa kujaza fomu basi wa kulaumiwa ni ACT wenyewe kwanini hawakuwafundisha jinsi ya ujazaji wa fomu watu wao??
 
Ukisema Utamwaga Damu Huko Unakwenda Mbali Sana
Mwaga Hata Mkojo Tu!!!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Huyu jamaa ni muoga sana! Vitendo vyake vinaongea zaidi kuliko kauli. Ni muoga mnoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…