Pembe za ndovu zakamatwa mombasa kenya

Pembe za ndovu zakamatwa mombasa kenya

JATELO1

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,230
Reaction score
301
WANAJF,
The Citzen TV ya Kenya katika taarifa yake ya habari ya saa 3 usiku imeonyesha kwamba kuna shehena kubwa sana ya PEMBE za NDOVU imekamatwa katika bandari ya Mombasa ikiwa inasafirishwa kwenda Indonesia. Na wamesema kwamba, uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba hizo pembe za ndovu zimetoroshwa katika nchi jirani na Kenya.

Wasiwasi wangu ni kwamba si ajabu hiyo nchi ya jirani ikawa Tanzania, kwani sisi ndiyo tuna idadi kubwa sana ya wanyama kuliko majirani wengine wa Kenya.
 
Kinana ana mkosi, kila akijaribu kupitishia kokote anaumbuka.
 
Tusubiri uchunguzi umalizike ili tupate uthibitisho kama jamaa wamepiga tena hii deal hapa bongo maana chochote chawezekana
 
WANAJF,
The Citzen TV ya Kenya katika taarifa yake ya habari ya saa 3 usiku imeonyesha kwamba kuna shehena kubwa sana ya PEMBE za NDOVU imekamatwa katika bandari ya Mombasa ikiwa inasafirishwa kwenda Indonesia. Na wamesema kwamba, uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba hizo pembe za ndovu zimetoroshwa katika nchi jirani na Kenya.

Wasiwasi wangu ni kwamba si ajabu hiyo nchi ya jirani ikawa Tanzania, kwani sisi ndiyo tuna idadi kubwa sana ya wanyama kuliko majirani wengine wa Kenya.
kwa afrika mashariki nchi zenye tabia ya kuuaua tembo ni TANZANIA NA KENYA:smiling:
 
Back
Top Bottom