SI KWELI Pen zinazotoa risasi kama Bunduki zinagawiwa na kuuzwa kwenye Shule za Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hapa wazungu wanahusikaje? Ni malalamiko yale yale ya kipumbavu siku zote. Asilimia 80 ya vitu ulivyo navyo asili yake au vimetengenezwa na wazungu. We unataka wakupende we mwanamke? Usitake kupendwa na wazungu pambana na maisha yako yakae sawa.
Huyu jmaa mleta thread ni tapeli mmoja anayejifanya anajua mizizi ya dawa. Kila ugonjwa kwake unatibika. Yuko obsessed na wazungu kwa sababu anataka watu waingie kwenye anga za utapeli wake.
 
blaza kwa heshima yako toa hiyo post Unajichoresha.
 
We jamaa ni MTU ambaye huwa unaendeshwa na Emotions jambo ambalo linakufanya Una-decline responsibility na kutokuwa logically.

Jitahidi ubadilike .

Mzungu hajakufanya usifanikiwe au ufanikiwe ni swala la kuwa na ufahamu.

Biashara ya kusema unatibu magonjwa yote kwa mizizi ni uongo tu ambao hauna msingi wowote .

Post zako 99% ni uongo tu
 
Huyu jmaa mleta thread ni tapeli mmoja anayejifanya anajua mizizi ya dawa. Kila ugonjwa kwake unatibika. Yuko obsessed na wazungu kwa sababu anataka watu waingie kwenye anga za utapeli wake.
Yupo self-obsessed

Namjua muongo muongo sana
 
Itoshe kusema kwamba mleta mada akili zake ni ndogo sana
 
Yupo self-obsessed

Namjua muongo muongo sana
ILa ni mkongwe sana humu ndani tumsamehe na tumpe heshima yake kidogo maana wakati mwingine ana post Madini ila Leo Kwa Mara ya kwanza kapost thread mandazi kabisa labda angeiweka jukwaa la jokes
 
Hiyo video siyo halisi, imeingiziwa sauti tu. Kwa mbaali kuna sauti ingine ambayo inaelezea matumizi ya hiyo kalamu.
 
Mkuu, umeamka vipi leo? Mbona hii habari ambayo ni pure uzushi imekuwepo mitandaoni muda mrefu na majibu yamekuwa yakitolewa kuhusu uhalisia (Ukweli) wa habari hii?

Kwanza nakushauri ww kama msomi(Dr) uache chuki binafsi dhidi ya Wazungu eti wanatulazimisha tuwe mashoga. Kuwa shoga hakumhitaji mzungu aje kukulazimisha. Ushoga umekuwapo enzi na enzi hapa Afrika sema tu ww ulikuwa hujui na wala hujafuatilia. Tena ww kama Dr. inafaa ujue kwamba kuwa shoga hakumzuii mtu kuzaliana. Halafu unasema Wazungu eti wameleta korona. Je, unaweza kuthibitisha hilo?

Mwisho unadai utengenezwaji wa silaha ya peni ni kwa ajili ya kuwamaliza watoto wetu. Inakuwaje mkuu unajitoa ufahamu kuhusu umiliki wa silaha za moto halafu eti mtu atengeneze kitu cha gharama kubwa hivyo halafu eti aje kuwagawia wanafunzi mashuleni BURE.

Ni kweli hizo silaha za peni zipo na zimekuwepo muda mrefu ni pamoja na silaha zingine size ndogo na hutumika kujihami hususan na majasusi e.g. CIA, Mossad, n.k. Fuatilia tu mkuu utajua.
Nakuomba tuache kutoa Taarifa zitakazoweza kuzua taharuki miongoni mwa Jamii bila sababu yeyote. Vyombo vya Usalama vya nchi yetu vipo makini 24 hrs. na sio rahisi kitu kama hicho kiwepo hapa nchini bila wao kujua.

NB: Hii ni mada nzuri kwa majadiliano, kubishana kistaarabu na kwa hoja ila haina ukweli wowote.
 
ILa ni mkongwe sana humu ndani tumsamehe na tumpe heshima yake kidogo maana wakati mwingine ana post Madini ila Leo Kwa Mara ya kwanza kapost thread mandazi kabisa labda angeiweka jukwaa la jokes

Muhuni huyo mkuu
Ansema anatibu magonjwa yote kupitia mizizi
 
Kama hiyo shule kweli ipo Tabora Polisi Watafuatilia zaidi ili tupate kujuwa kama kuna ukweli wowote hakuna cha taharuki hapo tunachotaka sisi usalama wa watoto wetu walioko Mashuleni sio tena mpaka wafe watoto ndipo tupate kujuwa hicho kitu hatukitaki . Nchi yetu ni nchi ya amani hatutaki maafa yatokee mahali popote pale nchini mwetu.Ninaipenda nchi yangu.
 
Tumia akili zako vizuri basi hata kidogo. yaani mtu agawe hizi bunduki shuleni kwa lengo gani? Manake kumbuka hii sio kalamu ni bunduki, hizi hutumika zaidi na mashushu. Unafikiri hii thamani yake ni sh 1,000 ? au buku 5 ? Hata mtu anunue aende kuzigawa shuleni? Yaani waalimu wapo alafu waruhusu na hii kitu kabisa??? We unaona inawezekana??? Habari za kipuuzi hizi
 
Mipaka ya nchi yetu ipo wazi sana, uwezekano wa kuingia vifaa vya namna hii upo mkubwa sana tofauti na unavyofikiri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…