PENALTY!

PENALTY!

GIUSEPE

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
208
Reaction score
76
Wapinzani wamepewa penati isiyo shaka,nani aiipige na kwa vigezo vipi mpigaji apewe? This might be their
Only chance,..NB: wengi wakitaka wanapata
 
Jiliwazeni tu ila kwa siasa chafu kabisa zinazofanywa na kinachoonekana Chama kikubwa cha upinzani nchini, hakuna kinachokwenda kubadilika zaidi ya CCM kuendelea kukaa madarakani. Rais Samia ataendelea kuongoza mpk awamu nyengine, atakuja wa CCM kuongoza atamaliza atakuja mwengine. Tundu Lissu/Mbowe au mpinzani yoyote awaye, anaweza kuiongoza Tanzania akiwa ndotoni tu. Kukicha ni CCM tu!!
 
Watafute mpigaji mzuri kama mbappe
1737304897551.gif
 
Back
Top Bottom