Pendekeza kitu gani nijifunze ili nipate hela

Pendekeza kitu gani nijifunze ili nipate hela

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu naombeni mnitajie maarifa ambayo kama nikiamua ku deal nayo nikayapa muda wa kutosha kujifunza katika mtandao basi nitapiga hela maana nasikia Kuna watu wanasema pesa ipo tu hewani ni wewe tu kuidownload yaani kuivuta ndo maana tunaona vijana wanakunywa tu bia na kushinda bar.

Halafu ukiwafuatilia hamna kazi wanayofanya nasikia wenyewe kifaa chao Ni computer au simu tu. Kwa hiyo nipeni mwongozo niamue kuumiza akili kwenye technology ili nipige pesa.kati ya freelancer, betting,forex, n.k.

Niko tayari kujifungia ndani nikomae usiku na mchana ili niwe master wa kuvuta pesa ili mradi sitaki tu michezo ya kifreemason.

1622708787755.png

 
Wakuu naombeni mnitajie maarifa ambayo kama nikiamua ku deal nayo nikayapa muda wa kutosha kujifunza katika mtandao basi nitapiga hela.maana nasikia Kuna watu wanasema pesa ipo tu hewani ni wewe tu kuidownload yaani kuivuta ndo maana tunaona vijana wanakunywa tu bia na kushinda bar halafu ukiwafuatilia hamna kazi wanayofanya nasikia wenyewe kifaa chao Ni computer au simu tu.kwa hiyo nipeni mwongozo niamue kuumiza akili kwenye technology ili nipige pesa.kati ya freelancer, betting,forex, n.k.

Niko tayari kujifungia ndani nikomae usiku na mchana ili niwe master wa kuvuta pesa ili mradi sitaki tu michezo ya kifreemason.
Unajua Kiingereza au hupendi lugha za mabeberu ?
 
Unajua Kiingereza au hupendi lugha za mabeberu ?
Kingereza nilikua najua shuleni ila nilivyotoka huko kuja mtaani SI ndio lomoni nyingi kwa mtaa nahisi uwezo umepungua kwenye kuongea ila inshort najua maneno mengi kwa hiyo kazi kama ya kuandika au kusoma nitafaulu nisaidie kaka
 
Afadhali hata we unatafuta mchongo upige ela
Wengine hata hizo nguvu hazipo naona giza tu
Natamani utokee muujiza nipate walau laki 2 niokoe maisha ya maza angu
Pole sana kiongozi naamini Mungu atakuwa pamoja nasi. Pole sana
 
Lakini ujue pesa ya ulimwengu wa roho unabeba na gunia zingine ni pesa ya mfukoni na kula tu.
 
Afadhali hata we unatafuta mchongo upige ela
Wengine hata hizo nguvu hazipo naona giza tu
Natamani utokee muujiza nipate walau laki 2 niokoe maisha ya maza angu
Pole sana mama anatatizo gani mkuu?
 
Wakuu naombeni mnitajie maarifa ambayo kama nikiamua ku deal nayo nikayapa muda wa kutosha kujifunza katika mtandao basi nitapiga hela maana nasikia Kuna watu wanasema pesa ipo tu hewani ni wewe tu kuidownload yaani kuivuta ndo maana tunaona vijana wanakunywa tu bia na kushinda bar halafu ukiwafuatilia hamna kazi wanayofanya nasikia wenyewe kifaa chao Ni computer au simu tu.kwa hiyo nipeni mwongozo niamue kuumiza akili kwenye technology ili nipige pesa.kati ya freelancer, betting,forex, n.k.

Niko tayari kujifungia ndani nikomae usiku na mchana ili niwe master wa kuvuta pesa ili mradi sitaki tu michezo ya kifreemason.
Jifunze kujipendekeza kwa mastaa kama Harmo rapa
 
Afadhali hata we unatafuta mchongo upige ela
Wengine hata hizo nguvu hazipo naona giza tu
Natamani utokee muujiza nipate walau laki 2 niokoe maisha ya maza angu
As you are waiting for that thing to happen what are you doing towards that thing ?
 
Back
Top Bottom