akili ya waafrika! Ili iweje?Katika kumuenzi kijana jasiri aliyeokoa watu kwenye ajali ya ndege ingefaa Bukoba Airport ipewe jina lake kwa heshima na kumbukumbu ya vizazo vijavyo (MAJALIWA AIRPORT).
Amesababisha kivipi, kama hujui kitu uliza.Tanzania ni watu wa hovyo mno kijana aliyesababisha vifo vya watu 19 kwenye ndege amepewa ajira kwenye kikosi cha Zima moto so [emoji26]
We ndo hujui kitu mkuu akili zako zimeishia hapoAmesababisha kivipi, kama hujui kitu uliza.
HahaaTatizo linafanana na yule mzee muongo muongo.