Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, nimefikiri sana jinsi michezo ya kombe la ligi inavopangwa na nimeona ni bora wahusika wakabadiri aina ya michezo hii ambayo inadhamniwa na Azam.
Pendekezo langu timu zecheze mechi mbili kama kwenye 'Copa del rey' nchini Spain au fainali za CAF ambapo timu hucheza nyumbani na ugenini.
Hii itanogesha mashindano haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pendekezo langu timu zecheze mechi mbili kama kwenye 'Copa del rey' nchini Spain au fainali za CAF ambapo timu hucheza nyumbani na ugenini.
Hii itanogesha mashindano haya.
Sent using Jamii Forums mobile app