Kwa hiyo Simba ingepata nafasi ya kurudiana na Mashujaa huko Kigoma??Hapo utamu ungenoga au ungepungua??Mimi naona utamu ndio vile MTU mzima kaotewa katolewaWakuu, nimefikiri sana jinsi michezo ya kombe la ligi inavopangwa na nimeona ni bora wahusika wakabadiri aina ya michezo hii ambayo inadhamniwa na Azam.
Pendekezo langu timu zecheze mechi mbili kama kwenye 'Copa del rey' nchini Spain au fainali za CAF ambapo timu hucheza nyumbani na ugenini.
Hii itanogesha mashindano haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waandaaji wamefanya copy n paste wa mfumo wa mkoloni Muingereza wa FA CupWakuu, nimefikiri sana jinsi michezo ya kombe la ligi inavopangwa na nimeona ni bora wahusika wakabadiri aina ya michezo hii ambayo inadhamniwa na Azam.
Pendekezo langu timu zecheze mechi mbili kama kwenye 'Copa del rey' nchini Spain au fainali za CAF ambapo timu hucheza nyumbani na ugenini.
Hii itanogesha mashindano haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kama utafuatilia ratiba iliyopita utaona takriban mechi zote za timu za Mtibwa na Yanga hazikucheza nyumbani. Na naona kwa msimu huu timu ya Yanga inavocheza mechi hizo nje ya nyumbani kwake pamoja na Azam nadhani.Changamoto gani umeona kwenye mfumo wa sasa hata maoni yako yafuatwe
Inatupasa kuepukana na huo utawaliwa wa fikra wa kuona anachofanya mkoloni ni bora kuliko wengine.Waandaaji wamefanya copy n paste wa mfumo wa mkoloni Muingereza wa FA Cup
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mfumo wa sheria na sheria nyingi tu ni copy n paste ya mkoloniInatupasa kuepukana na huo utawaliwa wa fikra wa kuona anachofanya mkoloni ni bora kuliko wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia kufungwa na Green Warriors na Mashujaa bila kurudianaChangamoto gani umeona kwenye mfumo wa sasa hata maoni yako yafuatwe
Si hivo mkuu bali ni upangaji mbaya wa mechi. Kama umefuatilia msimu ulopita timu za Mtibwa na Yanga mechi takriban zote zimecheza nje.