Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Watu wengi wanazungumza kuhusu sakata la TRA na Wafanyabiashara lakini wanamung'unya maneno na kupata kigugumizi kumtaja Mwigulu ambaye ndio mwanzilishi wa uchafu huu wote.
Ili kuleta amani ya kudumu kwenye Biashara za Kariakoo, Mwigulu aondolewe tena aondolewe kabla ya asubuhi.
Au kama kawekwa ili kukusanya hela za uchaguzi za CCM basi si kesi apelekwe kwenye madini.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ili kuleta amani ya kudumu kwenye Biashara za Kariakoo, Mwigulu aondolewe tena aondolewe kabla ya asubuhi.
Au kama kawekwa ili kukusanya hela za uchaguzi za CCM basi si kesi apelekwe kwenye madini.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app